Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?


Mkuu wanafanya Vipimo gani pale
Msata?
 
Utakutana ukaguzi mzito kwanzia vyeti vya kuzaliwa mpaka taaluma vikipishana majina kidogo umekwisha
Wale wa majina kupishana kama la mwisho kuja Kati Kati kwenda mwishoni waandae kiapo cha mahakaman kbisa maan hawatakuvumilia ukatafute ndio urudi
 
Nasikia Iveco inakuja na mizigo ya fimbo imejaa ndii. Yani unakula bakora za mgongo, kiuno shingo huku unaitwa shangazi
Wale wa majina kupishana kama la mwisho kuja Kati Kati kwenda mwishoni waandae kiapo cha mahakaman kbisa maan hawatakuvumilia ukatafute ndio urudi
Pale wanatafuta sababu ndogo apo hawakuambii wakiona tu majina yapo tofauti jina lako linakua kwenye unfit
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…