Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Af jeshini hawapendi unaa yaani kihelehele kuwa mbabaishaji aha watakupenda sanaAaaah kmmke yani Jin's ilivongumu kupata nafas eti nikimbie labda nirogwe. Oa hapo ndo pakujengea maisha yako. Tena inabid upige kaz kwa kuipenda la sivyo utoboi
Kama nyundo ausio 🤣Af jeshini hawapendi unaa yaani kihelehele kuwa mbabaishaji aha watakupenda sana
I think one week tu unafanyikaHuo MS unaisha Lin?
Ndio ivyo yaani ukienda ww kuwa dojaKama nyundo ausio 🤣
Kwahiyo nao watajumuishwa kupiga koz pamoja...ndio waende TMA au washapiga coz ya awali hao?I think one week tu unafanyika
Mwambie pia wakimnasa wanampa chai ya tangawizi nyingiNdio ivyo yaani ukienda ww kuwa doja
ili nipigwe Vasco da gama 🤣Ndio ivyo yaani ukienda ww kuwa doja
Wanapiga kozi miezi sita isipokua wao hua awaendi level 3 wao wanaitwa kundi maalumKwahiyo nao watajumuishwa kupiga koz pamoja...ndio waende TMA au washapiga coz ya awali hao?
Hao kuitwaga ni mpk December szani kama wataanza kozi na intake ya 43Kwahiyo nao watajumuishwa kupiga koz pamoja...ndio waende TMA au washapiga coz ya awali hao?
Wao moja kwa moja TMAKwahiyo nao watajumuishwa kupiga koz pamoja...ndio waende TMA au washapiga coz ya awali hao?
🤭 Inabidi kijana aive kabla ajafika rtsMwambie pia wakimnasa wanampa chai ya tangawizi nyingi
Mmmh ni lazma wapite rts kwanza mkuuWao moja kwa moja TMA
Ahahaha acha uga ww mm nishapigwa nua mbna sikufaili nipigwe Vasco da gama 🤣
Ila lazima wapite rts koz ya awal..Wao moja kwa moja TMA
KumbeMmmh ni lazma wapite rts kwanza mkuu
Rts kwanza wakimaliza hua wanapelekwa mgulani karibia wote baada ya hapo wanafanya masaliano wengine wanapelekwa nje ya nchi wengine TMA kusoma na hua ni miaka mitatu na kuendeleaWao moja kwa moja TMA
So mtawakutaIla lazima wapite rts koz ya awal..
Uhakika atasahihisha....Mmmh ni lazma wapite rts kwanza mkuu
KumbeRts kwanza wakimaliza hua wanapelekwa mgulani karibia wote baada ya hapo wanafanya masaliano wengine wanapelekwa nje ya nchi wengine TMA kusoma na hua ni miaka mitatu na kuendelea
Hapana nadhani wao ndo watatukuta tena tyr itakua ishapita six weeks maana hapo wao uhakika kuanza koz kwa nnavoujua hua ni January lkn sjui safari hii utaratibu utakuajeSo mtawakuta