Kalaga Baho Nongwa
JF-Expert Member
- Sep 27, 2020
- 9,953
- 23,150
Uende kihangaiko umefanya kazi gani.. hiyo ndo ntolee mkuu! Hatusikii majina kutoka wala kufanya nn na mbaya zaid haikuainishwa idadi. Kama kuna udi na mafusho mzee kona hizo tuwasilianeRts kihangaiko kutaendeka kweli maana naona kimya sana au ngoma imezimiwa kwenye gear
wakati bado tunaulizana majina yatatoka lini,mara tutaitwa lini, unashangaa Millard Ayo ameposti sherehe za kuapishwa askari wapya 6000 hhhhUende kihangaiko umefanya kazi gani.. hiyo ndo ntolee mkuu! Hatusikii majina kutoka wala kufanya nn na mbaya zaid haikuainishwa idadi. Kama kuna udi na mafusho mzee kona hizo tuwasiliane
Mm bora nikajipige udi tu..wakati bado tunaulizana majina yatatoka lini,mara tutaitwa lini, unashangaa Millard Ayo ameposti sherehe za kuapishwa askari wapya 6000 hhhh
Tafuta mbanga yenye vijogoo shingoni ishi nayo unatoboaKwahiyo sisi wenye 28-30 unatuambiaje..!? 😃
Njoo kwa nabii suguye tujumuikeMjukuu wa taifa j pili hii nitakuwepo kwa mwamposa hapo kulainisha vyuma mana jana nimepishana n mbanga lugalo pale inajisonya sonya
Njoo kwa nabii suguye tujumuike
Kitunda mzee baba kivule apaKitunda? Sawa mkuu nitajitahid tutawasiliana mana sio poa. Ngoma nzito hii⁸
Kuna mzee wangu kona hizo msabato flani hiv ananedeshaga chopa. Pale kitunda ccm itakuwa unamfaham huyuKitunda mzee baba kivule apa
Tukitoka kwa suguye kuna mbanga moja kivule apa ni 2 star general tuingie kwake sema MP kibao jiandae makofi mawili matatuKitunda? Sawa mkuu nitajitahid tutawasiliana mana sio poa. Ngoma nzito hii⁸
Huku wapo wengi sana asubuhi hivi unakitana nao wengi sana wanafanyia apo 603kjKuna mzee wangu kona hizo msabato flani hiv ananedeshaga chopa. Pale kitunda ccm itakuwa unamfaham huyu
Umesahau sifuri moja au 😂Za ndani kabisa inasemekana kuna barua zaidi ya 10000,
Na pia wapo walioghushi Nida na cheti cha jax,
Samahan mkuu watu wanaopitishiwa huko rts...majina yao huwa hayaanzii makao au kama wale waliochukua nafasi zenu kwenye panga la unfitNaoana watu wanaulizia sana kuhusu kuitwa jamani tarehe 14 ilikua juzi tu japo ndio jwtz hua awachelewagi sana kuita watu baada kutuma maombi ila kwa sasa ni mapema mno.. saivi wanachambua wenye sifa wakishamaliza hawawezi kuita watu lazima wakae kikao cha kamati ilioundwa kupitia hayo maombi apo kila mbanga ihakikishe jina la kijana wake lipo😁 baada ya hapo ndio mtaanza kuitwa bado mkifika msata au oljoro kuna usaili mzito ambao hujawahi kuuona apo napo wataachwa watu kibao aisee safari ni ndefu adi uone umeanza kozi
Iyo ni taarifa rasmi au lonja tuu👆Kuazia tarehe 3 vijana mtaaza kuitwa
Wakiitwa ni moja kwa moja Rts??Kuazia tarehe 3 vijana mtaaza kuitwa