Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

Kwa kuangalia hizi criterias zako majeshi hayakufai. Kule unaweza kutupwa hata mpakani. Kama hizo mishe zinakupa michuzi komaa nazo tu.
 
Kwa kuangalia hizi criterias zako majeshi hayakufai. Kule unaweza kutupwa hata mpakani. Kama hizo mishe zinakupa michuzi komaa nazo tu.
Uhakika mkuu...anaeza bahatika huko kwenye bounds all the time na chuma yake ni kuregeza buti tu
😂
 
So unataka kusema mtu akiingia na 4m4 div range 1,2-3 anauwezo wa kuvaa nyota...
Akiwa na mbuyu
Lazima vigezo na masharti vizingatiwe ndio utaweza kusaidika. Form IV ngumu kuwa Afisa kama hujajiendeleza kielimu.
 
Lazima vigezo na masharti vizingatiwe ndio utaweza kusaidika. Form IV ngumu kuwa Afisa kama hujajiendeleza kielimu.
Napo anapaswa ajiendeleze kielimu vipi mkuu,,, kurisit mtihan wa A-level (4m6) au chuo ngaz ya diploma ama kozi za kijeshi zipo zitakazo mfavour
 
Update nliyoipata jana ni kuwa;
Uhakiki uliofanyika ni kwa OP- General Mabeyo (Hili linajulikana)..

Ila katika hii OP, watakaochukuliwa wote, ni wale wanaojenga kule kijiji cha Msomera (Tanga) kwa ajili ya Maasai wanaohama Ngorongoro. Kisha wanajaziwa wengine kama wanahitajika.

Kwahiyo wadau mjue tu, mpaka idadi ya wana-msomera iingie Rts, ndo wengine wanaitwa kukaba rofu.

Mibanga ndo muda wake huu wa kupenyeza watu wao kwenye mradi.

Japo juzi, Mkurugenzi wa Uandikishaji, Brigedia Jenerali Haji Makanza alienda kukagua na kuangalia zoezi la uhakiki yeye mwenyewe.
 
Update nliyoipata jana ni kuwa;
Uhakiki uliofanyika ni kwa OP- General Mabeyo (Hili linajulikana)..

Ila katika hii OP, watakaochukuliwa wote, ni wale wanaojenga kule kijiji cha Msomera (Tanga) kwa ajili ya Maasai wanaohama Ngorongoro. Kisha wanajaziwa wengine kama wanahitajika.

Kwahiyo wadau mjue tu, mpaka idadi ya wana-msomera iingie Rts, ndo wengine wanaitwa kukaba rofu.

Mibanga ndo muda wake huu wa kupenyeza watu wao kwenye mradi.

Japo juzi, Mkuu wa Utumishi, Brigedia Jenerali Hamza alienda kukagua na kuangalia zoezi la uhakiki yeye mwenyewe.
Asante kwa taarifa mkuu..
 
Update nliyoipata jana ni kuwa;
Uhakiki uliofanyika ni kwa OP- General Mabeyo (Hili linajulikana)..

Ila katika hii OP, watakaochukuliwa wote, ni wale wanaojenga kule kijiji cha Msomera (Tanga) kwa ajili ya Maasai wanaohama Ngorongoro. Kisha wanajaziwa wengine kama wanahitajika.

Kwahiyo wadau mjue tu, mpaka idadi ya wana-msomera iingie Rts, ndo wengine wanaitwa kukaba rofu.

Mibanga ndo muda wake huu wa kupenyeza watu wao kwenye mradi.

Japo juzi, Mkuu wa Utumishi, Brigedia Jenerali Hamza alienda kukagua na kuangalia zoezi la uhakiki yeye mwenyewe.
Hivi kule msomera wapo service wangapi kwa kukadiria?
 
Hivi kule msomera wapo service wangapi kwa kukadiria?
Sijajua ni wangapi mkuu..

Ila mwamba alipofikia, alisema yupo kituo cha 14,000 (Hapa sikuelewa alichomaanisha) 😅

Hapo kwenye kituo hicho, kuna KOMBANIA 5, ambapo kila kombania moja inajenga nyumba 100, Kwa jumla ya nyumba 500…

Kwahiyo kwa kukadiria tu, Kombania hizo tu (5), zinaweza zikawa na Servicemen kama 750-1000 (Kama kombania 1 itakuwa na servicemen 150-200)…

Sasa hapo kadiria jumla ya kombania zilizokuwa huko, kwenye kijiji kizima…
 
Yes kuna jamaa dogo lake alikua kwenye mrad huo aliwanambia dogo kampanga jamaa kuwa Kuna kamanda mkubwa tuuuu aliwaahidi kuzama chomboni natumai muda umewadia sasa
 
Kwahiyo wanangu wa jf watakao bahatika kuzama Rts watakua hawajuani kisura juu ya haya manick name ya JF
😂😂😂
 
Update nliyoipata jana ni kuwa;
Uhakiki uliofanyika ni kwa OP- General Mabeyo (Hili linajulikana)..

Ila katika hii OP, watakaochukuliwa wote, ni wale wanaojenga kule kijiji cha Msomera (Tanga) kwa ajili ya Maasai wanaohama Ngorongoro. Kisha wanajaziwa wengine kama wanahitajika.

Kwahiyo wadau mjue tu, mpaka idadi ya wana-msomera iingie Rts, ndo wengine wanaitwa kukaba rofu.

Mibanga ndo muda wake huu wa kupenyeza watu wao kwenye mradi.

Japo juzi, Mkurugenzi wa Uandikishaji, Brigedia Jenerali Haji Makanza alienda kukagua na kuangalia zoezi la uhakiki yeye mwenyewe.
Kwahiyo sisi wa Chita tunaowalisha Msomera za uso daaah
 
Wakuu mbanga imenambia tutegemee wiki inayoanza kesho majina kuitwa sasa sijui inanipanga tu
 
Back
Top Bottom