Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

Kwa taarifa nilizonazo ni kama za huyo mwamba hapo juu..

Maana nimeambiwa kozi itaanza katikati ya mwezi wa saba au mwezi wa nane. Ila kuanzia mwanzoni mwa mwezi wa saba, wadau watakuwa kwenye UZALENDO..

Maana yake hapo, ndani ya wiki hii inayoanza kesho, ambayo ndo wiki ya mwisho ya mwezi wa sita, watu wataanza kupanda RTS ili mwezi wa saba wakawe wazalendo
Mwez wa nane uhakika. Kuna mshua flan hiv kanitonya
 
Haya mambo mtu bora atafte mishe asitegemee kabisa huku
Mijadala ni mingi na kila mtu anasema anavyojua
Uhakika bro ngoma ngumu huko...ndio maana unaona wajuba wanasema mbanga hazipokei cm bila kujua mbanga zenyewe zinasubili maelekezo kwa mibuyu yao
 
Yuko wapi yule jamaa aliyesema mzigo September...maana anaweza kuwa na info nzur maana nimetonywa na PT wa hapo skonga leo mwez huu wa 7 mwazon watu wanaweza kuanza ku report ila kozi inaweza kuanza huo mwez wa tisa duuuh emu wafikilie ianze hata wa 8 maana ndugu zangu Wana uchu sana na kitenge🥺
 
Yuko wapi yule jamaa aliyesema mzigo September...maana anaweza kuwa na info nzur maana nimetonywa na PT wa hapo skonga leo mwez huu wa 7 mwazon watu wanaweza kuanza ku report ila kozi inaweza kuanza huo mwez wa tisa duuuh emu wafikilie ianze hata wa 8 maana ndugu zangu Wana uchu sana na kitenge🥺
Bora ata iwe hvo kuliko kuendelea kukaa mtaani Bora kukaa uzalendo
 
Back
Top Bottom