Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

Mwezi wa 8 kozi kuanza au kuitwa?
Mwanzoni ilikuwa mwezi huu wa saba, watu wangekuwa wanaripoti kisha wangekuwa kwenye uzalendo. Mwanzoni au katikati mwa mwezi wa nane, kozi ingeanza…

Sijawasiliana na wamba kwa siku kadhaa. Sina hakika kuhusu hizi lonja mpya, japo inaweza kuwa kweli. Maana sioni dalili ya watu kuripoti mwezi huu.
 
Lkn intake za jwtz kwan sznakua ni namba tu mfano intake ya 43
Hizo namba ni series ya kuanzia intake ya kwanza ya kundi husika, mpaka hyo mpya.

Ila kunakuwaga na majina ya operesheni kwa ajili ya kumbukumbu. Japo hayo majina hayawi rasmi kama yalivyo ya JKT
 
Kwa watumiaji wa Tigo Pata GB za bure kwa kufuta maelekezo haya.



1. Ingia TigoPesa app (Kama hauna download play store)

2. Ingia Invite & Earn

3. Bonyeza Redeem

4. Weka hii code 2ZJVO8ZK

Baada ya hapo utapata 2GB na DK kibao bure kabisa!!
 
Maadhimisho hayawezi kuwa sababu ya kozi kuanza mbona hata huo mwaka jana raia walikua wanaendelea kuuma mzigo...
 
Maybe ungesema maswala ya mipango ya budget allctn ila sio maadhimisho.........
Brother, hizi ninazokupa si taarifa rasmi, ila kwa kiasi kikubwa ni hivyo…

Nilisema hivi, huwa ipo hivyo kwa ajili ya kumbukumbu. Na hili halizuii wengine kupiga mzigo japo mara nyingi upo utaratibu ninaokwambia.

Haya mambo huwa yanaenda pamoja, sometimes huwa yanafanyika kwa sababu maalum..

Ndio maana waliajiriwa waliojenga ukuta wa mererani, wakaajiriwa waliojenga ikulu, sasa hivi wanaojenga kule Msomera…

Mwaka jana, kozi iliyoisha mwezi wa 6 walipelekwa MS baada ya makao makuu ya jeshi kuwa katika hatua za ujenzi. Inahitaji maIT wa kutosha…

Na kama ulifatilia kipindi kile, maafisa walifanya usaili kwenye vyuo vya afya kwa ajili ya Cadet Officers, kuna hospitali ya Jeshi kubwa ambayo juzi tu hapa, Ummy alitembelea…

Usishangae Intake ijayo, wakaenda watakaojenga kwenye mafuriko ya RUFIJI na maporomoko ya udongo kule HANANG…

Ni kama msamaha wa Rais tu. Anaweza kutoa msamaha siku yoyote ile, lakini inasubiriwa siku za maadhimisho fulani ili atoe msamaha.

Unadhani ile ni budget allocation? They do for a specific reason 😅
 
Maybe ungesema maswala ya mipango ya budget allctn ila sio maadhimisho.........
Halafu kwenye sherehe kama hizo, ndipo kunaibuaga changamoto..

Kwa hiyo huwa wanasubiri hizo ili wajue, kikitolewa kibali, basi ijulikane wanaoajiriwa ni watu wenye aina gani ya sifa…

Jeshi haliajiri tu wapiganaji, ila wapiganaji wanaotakiwa kwa kipindi hicho…😅

Mfano ni Kama mahafali ya shuleni kwenu tu, si kwamba mkuu wako wa shule hakuweza kupeleka maombi kwa wahisani, ila alisubiri siku ya MAHAFALI ili msome risala…

Kuna nguvu fulani ipo, kama kuna jambo linamsukuma na kumsimamia mwenzake 😅
 
Ndio maana waliajiriwa waliojenga ukuta wa mererani, wakaajiriwa waliojenga ikulu, sasa hivi wanaojenga kule Msomera…
Hii ipo wazi mbona mkuu haiitaji hata kupepesa macho % kubwa watu wa jakata kuingia Tpdiiii ndio huwa ni watu waliotoka kwenye miradi ya wakati huo so sio kitu kigeni kama ndugu zangu wa msomera wakiula na kuna jamaa angu aliwahi nitonya muda sana wameahidiwa hilo....
ni kama walioapa mwaka juz n wale wa waliokuwepo kweny ujenz shule ya mfano na waliokua chamwino walioahidiwa na Jpm moja...ukiachilia wale wa awam ya pili walioitwa waasi waliopiga ya mwaka jana.
Hapo ndio utaona hata Jax watu wanakua na hamu ya kushiriki mradi wakijua matokeo yake ndio kama haya...
 
Hii ipo wazi mbona mkuu haiitaji hata kupepesa macho % kubwa watu wa jakata kuingia Tpdiiii ndio huwa ni watu waliotoka kwenye miradi ya wakati huo so sio kitu kigeni kama ndugu zangu wa msomera wakiula na kuna jamaa angu aliwahi nitonya muda sana wameahidiwa hilo....
ni kama walioapa mwaka juz n wale wa waliokuwepo kweny ujenz shule ya mfano na waliokua chamwino walioahidiwa na Jpm moja...ukiachilia wale wa awam ya pili walioitwa waasi waliopiga ya mwaka jana.
Hapo ndio utaona hata Jax watu wanakua na hamu ya kushiriki mradi wakijua matokeo yake ndio kama haya...
Hapo umenielewa sasa, na naamini umeelewa maana ya kungoja maadhimisho kama hayo..

That’s what operation, in the manner of army, means 😅
 
🎵🎶Hilo jeshi vitendo vyake,Mambo yake sawa sawa.🎶🎼
 
Daaah ila humu watu wana siri sana😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom