Mjukuu wa taifa
JF-Expert Member
- Oct 25, 2023
- 489
- 458
😂😂😂Ni noma bro we fikilia me raia ya huko iliniambia koz ikiwahi bas n wa 9 we huogopiAu hamna kabisa kozi😎
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂Ni noma bro we fikilia me raia ya huko iliniambia koz ikiwahi bas n wa 9 we huogopiAu hamna kabisa kozi😎
Mwanzoni ilikuwa mwezi huu wa saba, watu wangekuwa wanaripoti kisha wangekuwa kwenye uzalendo. Mwanzoni au katikati mwa mwezi wa nane, kozi ingeanza…Mwezi wa 8 kozi kuanza au kuitwa?
Wa tisa ingekuwa siksi-wiki..Au hata wa tisa
Yote yanawezekana hayo. Na ikipigwa tena AZIWEA, tukutane mwakani mwezi wa piliAu hamna kabisa kozi😎
😅😂😂😂Ni noma bro we fikilia me raia ya huko iliniambia koz ikiwahi bas n wa 9 we huogopi
Na mara nyingi inakuwa ni kutafuta majina ya OPARESHENI..Maadhimisho ya miaka 60 ya jwtz ndo 7bu
Sasa hayo maadhimisho ni mwezi wa 9 kwahyo mwezi huu kachuNa mara nyingi inakuwa ni kutafuta majina ya OPARESHENI..
Lkn intake za jwtz kwan sznakua ni namba tu mfano intake ya 43Na mara nyingi inakuwa ni kutafuta majina ya OPARESHENI..
Hizo namba ni series ya kuanzia intake ya kwanza ya kundi husika, mpaka hyo mpya.Lkn intake za jwtz kwan sznakua ni namba tu mfano intake ya 43
Brother, hizi ninazokupa si taarifa rasmi, ila kwa kiasi kikubwa ni hivyo…Maybe ungesema maswala ya mipango ya budget allctn ila sio maadhimisho.........
Halafu kwenye sherehe kama hizo, ndipo kunaibuaga changamoto..Maybe ungesema maswala ya mipango ya budget allctn ila sio maadhimisho.........
Hii ipo wazi mbona mkuu haiitaji hata kupepesa macho % kubwa watu wa jakata kuingia Tpdiiii ndio huwa ni watu waliotoka kwenye miradi ya wakati huo so sio kitu kigeni kama ndugu zangu wa msomera wakiula na kuna jamaa angu aliwahi nitonya muda sana wameahidiwa hilo....Ndio maana waliajiriwa waliojenga ukuta wa mererani, wakaajiriwa waliojenga ikulu, sasa hivi wanaojenga kule Msomera…
Hapo umenielewa sasa, na naamini umeelewa maana ya kungoja maadhimisho kama hayo..Hii ipo wazi mbona mkuu haiitaji hata kupepesa macho % kubwa watu wa jakata kuingia Tpdiiii ndio huwa ni watu waliotoka kwenye miradi ya wakati huo so sio kitu kigeni kama ndugu zangu wa msomera wakiula na kuna jamaa angu aliwahi nitonya muda sana wameahidiwa hilo....
ni kama walioapa mwaka juz n wale wa waliokuwepo kweny ujenz shule ya mfano na waliokua chamwino walioahidiwa na Jpm moja...ukiachilia wale wa awam ya pili walioitwa waasi waliopiga ya mwaka jana.
Hapo ndio utaona hata Jax watu wanakua na hamu ya kushiriki mradi wakijua matokeo yake ndio kama haya...