Insider Boy
Senior Member
- Aug 5, 2015
- 189
- 309
Shukrani mkuuPdf hilo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shukrani mkuuPdf hilo
Ahaaa ila wabongoView attachment 3038223
Sijawahi sikia kama kuna fomu za kujaza ukiwa mtaani kabla ya kuingia kule ila kama kajazishwa fomu kama ya hapo juu basi mpe pole kashapigwa.
Naomba pdf mkuuMzigo umetema tayari
Hawana hakuna kilicho toka.....matapeli Wamesha anza yao.Naomba pdf mkuu
Ila kweli kwenye website ya Jeshi halipo hilo tangazoTumia muda kufwatilia ilo tangazo ndio urudi kueleza hayo.
Sure tuache kukurupuka.Ila kweli kwenye website ya Jeshi halipo hilo tangazo
Form four na six,Jkt miaka miwiliNaona wamesema umri iwe chini ya miaka 25 nishapoteza sifa
Wakuu tunywe maji mengi kumeshakucha huko.
Wakuu tunywe maji mengi kumeshakucha huko.
Tena night Kali yani usiku mwingi
Kuna link wakuu?JWTZ wametangaza nafasi hukoh
Hakuna ila kweny hio barua kilicho semwa ukweli ni siku tuuKuna link wakuu?
Lakin inawezekana mkuu mana kuna mwqka lilitokaga tangazo pale twalipo mbagala nzima waliokuwa wanajua watu nane tu.. 😁Hakuna ila kweny hio barua kilicho semwa ukweli ni siku tuu
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Lakin inawezekana mkuu mana kuna mwqka lilitokaga tangazo pale twalipo mbagala nzima waliokuwa wanajua watu nane tu.. 😁
Mkuu zafrain hili pdf umelitoa wapi? Au wewe mbanga?Pdf hilo
Kama una business Whatsapp ingia kwenye channels search ajira portal utakuta hyo kituKuna link wakuu?
Yaan hta nani akiangalia ilo tangazo anaruka muhuri upo chini yaa maandishi na pia signature ni copy&paste lbda hio pen 🖊️ ni ya cubaLakin inawezekana mkuu mana kuna mwqka lilitokaga tangazo pale twalipo mbagala nzima waliokuwa wanajua watu nane tu.. 😁
Kama una business Whatsapp ingia kwenye channels search ajira portal utakuta hyo kitu
Eleza kwa upana mkuu 🤣Yaan hta nani akiangalia ilo tangazo anaruka muhuri upo chini yaa maandishi na pia signature ni copy&paste lbda hio pen 🖊️ ni ya cuba
Screenshot hiyo tangazo huko weka hapa picha yakeKama una business Whatsapp ingia kwenye channels search ajira portal utakuta hyo kitu