Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

Lakin inawezekana mkuu mana kuna mwqka lilitokaga tangazo pale twalipo mbagala nzima waliokuwa wanajua watu nane tu.. 😁
Yaan hta nani akiangalia ilo tangazo anaruka muhuri upo chini yaa maandishi na pia signature ni copy&paste lbda hio pen 🖊️ ni ya cuba
 
Kama una business Whatsapp ingia kwenye channels search ajira portal utakuta hyo kitu
Screenshot_20240731-075142_WhatsAppBusiness.jpg
 
Back
Top Bottom