Black Codes Cracker
Senior Member
- May 7, 2022
- 188
- 238
- Thread starter
- #1,101
Lonja za mwanzo zilikuwa hivi; Wa saba mwanzoni au kati ni kuripoti na uzalendo.Mmmh kwa hapa siwezi pinga moja kwa moja ila nitakuja na info baadae kidogo ntakapokaa na jamaa wa hapo ndani maana nakumbuka mara ya mwisho juzi tu alinambia bado hawajaanza kuingia na pengne wakaanza kuingia wa nane au tisa kabisa,,,,sababu wao pia walifikili kwanzia tareh moja mwez huu wangeanza pokelewa ila bado..
Wa nane kati au tisa mwanzoni (kwa kutegemea muda wa uzalendo) kozi inaanza..
Lonja hazijapotea sana, ukweli upo hapo katikati (8 na 9) 😀