Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

Anayumba. Kama vitu vidogo sana hivyo haelewi, akianza kuambiwa ‘SIERA-01, SIERA-01, ALPHA CODE ZERO-THREE-TWO-ONE’. Ataelewa kweli huyu..!? 😂
Kama nmepiga integral na differential calculus nmepiga coordinate geometry na mauchafu mengine hzo vitu hazwez npiga chenga mkuu😎😎 acha dharau skuisoma vzr hyo text
 
Back
Top Bottom