Swardolf102
JF-Expert Member
- Apr 6, 2024
- 295
- 320
😕☹️☹️Oya wazee asikwambie mtu gwanda lile jpyajipya tamu yaan asikwambie mtu, nmetoka kuonana na mshkaji wangu la kwake lina[emoji294] kabisa ndani ya ndinga lake. Oya wakati wa Mungu ni wakati sahihi alaf pia ishu ya UMRI ni kwa wewe usie na connection/bahati.