Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

Mkuu huwezi amini hata kama pale getini jina lako halipo unaweza kupiga kozi vizuri tu kama ukiwa na mtu sahihi nyuma yako
Hii sipingi mwaka fulani kuna mdau alifika pale Getini akakuta jina halisomi wakamuuliza umefikaje alitaja mtu kutoka juu so mbaya jamaa kweli Vipimo akapita na kozi alipiga now after level 3 yuko zake Mt. Huko
 
Hii sipingi mwaka fulani kuna mdau alifika pale Getini akakuta jina halisomi wakamuuliza umefikaje alitaja mtu kutoka juu so mbaya jamaa kweli Vipimo akapita na kozi alipiga now after level 3 yuko zake Mt. Huko
huko mashulen ndio mpango mzima...wale wa dingi kani send sio mpk jina lipitie huko juu

Basi wajuaji watapinga na hii😂
 
Naona mambo yanazidi kusogea mbele wapwa...
leo nimepenyezewa na trainer kuwa kuingia hapo kama watawai kuingia ni kati ya mwez wa nane na tisa..
ila litakua bogi la watu nyomi sanaaa

Mwenye ronja mwingine amwage hapa.
 
IMG-20240716-WA0001.jpeg
 
Back
Top Bottom