Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Siriaz mkuu sitanii. Mm nilisikia kama stori tu sikuamin mpka nikaja kuona jamaa yuko msata kapiga kuruta karudi siku namtembelea kwao nakuta kitenge kimeanikwa. Hapo ndo nikajua dunia kubwa na ina maajabu ya kila aina
 
Eleza kwa upana mkuu 🤣
Ajira portal ya utumishi haingiliani na nafasi zitolewazo na vyombo vya ulinzi Bali taasisi na baadhi ya mashirika. Hao ni matapeli Wana taka kudanganya watu wakijua nafasi Zina toka lini..na ndio nilicho kua nasubiri tuache kuulizana nili lini wanaita Sasa mnatarehe husika.kunywa maji .nakuekea muhuri apa uone utofauti ulipo ...hakuna barua ambayo muhuri signature Zina ingiliana Kwa muhuri kuanza kisha maandishi yapite juu wajuzi walio kutana na taarifa nyingi za serekali hawaangali mara mbili Wana wajua .
 

Attachments

  • IMG-20240731-WA0001.jpg
    IMG-20240731-WA0001.jpg
    38.4 KB · Views: 5
Ajira portal ya utumishi haingiliani na nafasi zitolewazo na vyombo vya ulinzi Bali taasisi na baadhi ya mashirika. Hao ni matapeli Wana taka kudanganya watu wakijua nafasi Zina toka lini..na ndio nilicho kua nasubiri tuache kuulizana nili lini wanaita Sasa mnatarehe husika.kunywa maji .nakuekea muhuri apa uone utofauti ulipo ...hakuna barua ambayo muhuri signature Zina ingiliana Kwa muhuri kuanza kisha maandishi yapite juu wajuzi walio kutana na taarifa nyingi za serekali hawaangali mara mbili Wana wajua .

Kaangalie huko ajira portal wasap mkuu usibishe kila kitu. Bishabisha kaza fuvu wenzio waombe wapate.. prove kwa kuangalia ajira portal huko wasap usijichoshe kuchambua kila kitu. Au ajira portal nayo huiamini?
 
Kaangalie huko ajira portal wasap mkuu usibishe kila kitu. Bishabisha kaza fuvu wenzio waombe wapate.. prove kwa kuangalia ajira portal huko wasap usijichoshe kuchambua kila kitu. Au ajira portal nayo huiamini?
Kote nimepita ndio maana nikajua nini chakuandika. Matapeli Wana tumia watsup kwasbb ni untraceable network Kwa kutumia (end to end encryption).bila shaka umeonaga ukiwa watsup ..kurahisha hili tangazo lingekua in transparency. Japo sio mambo yote ya jeshi ni open...lakini Kwa hili ungepata kweny trusted sources ....nimecheka eti mmetoa ajira portal uko watsup.....
 
Kote nimepita ndio maana nikajua nini chakuandika. Matapeli Wana tumia watsup kwasbb ni untraceable network Kwa kutumia (end to end encryption).bila shaka umeonaga ukiwa watsup ..kurahisha hili tangazo lingekua in transparency. Japo sio mambo yote ya jeshi ni open...lakini Kwa hili ungepata kweny trusted sources ....nimecheka eti mmetoa ajira portal uko watsup.....
Acha ku complicate mambo babuu 🥴🥴
 
Tangazo lina namba za simu hilo kuweni makin jaman mtatapeliwa kirahisi.

Kumbe ndio maana kiboko ya wachawi anakuwa tajiri kwa ujinga wa watu wachache.
 
Nimekupa reasons kadhaa kukuelewesha juu ya tangazo na chanzo linapo takiwa kutoka na kuwepo.mwache New member amehaidiwa fasta atume.😂😂kama Leo ndio mwisho kaambiwa. Watu wapo bench 18month Sasa.
Namba ya sim wewe ya kaz gani mkuu
 
Back
Top Bottom