Godlover
Senior Member
- Jul 2, 2024
- 104
- 99
Huku hata elewa awapigie namba zipo kweny tangazo lao.Namba ya sim wewe ya kaz gani mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huku hata elewa awapigie namba zipo kweny tangazo lao.Namba ya sim wewe ya kaz gani mkuu
Hawapokei. Wakipokea nitaleta mrejeshoKuna namba za simu kwenye barua jinsi ya kuwasilisha maombi yako ya kujiunga na jeshi.
Sawa. Point ya kukumbusha ni kua jeshi halina namba za simuHawapokei. Wakipokea nitaleta mrejesho
Jamaa anasema ajira za jeshi zinautaratibu wake wa kutoka. Hili la nafas hizi wataliomgelea wao ajira portal! So taarifa hizi zina shidaHawapokei. Wakipokea nitaleta mrejesho
Sasa nafurahi sana nilichokua nataka kuwaelewesha muelewe angalia namba za simu ulizo screenshot nisawa na izo apo. Alafu Rudi tenaKuna sitofaham hapa. Watu wanawez kupigwa ila inaweza wasipigwe mana hili la namba ni za tpdf. Tapeli kajiweka wapi humo?
Namba ziko saw. Nmepiga simu kuulizia huko tpdf wanasema kama tangazo wametoa ajiraportal wao ndo watalielezea mana jeshi wana taratibu zaoSasa nafurahi sana nilichokua nataka kuwaelewesha muelewe angalia namba za simu ulizo screenshot nisawa na izo apo. Alafu Rudi tena
Kunywa maji subiri simu. Ukiitajika utaitwa.Namba ziko saw. Nmepiga simu kuulizia huko tpdf wanasema kama tangazo wametoa ajiraportal wao ndo watalielezea mana jeshi wana taratibu zao
Nmepokea taarifa hapa, tangazo ni la kweli. Na limetumwa huko hili liwafikie watanznia wengi zaidi. Litakuwepo pia tpdf keshoKunywa maji subiri simu. Ukiitajika utaitwa.
Hahaha huu ni Uongo bwana hakuna japokuwa kuna Mtu mimi kanitonya kuwa ni kweli ila nilivompigia Mzee kasema Tu umetoa wapi Taarifa nikasema Ajira portal akasema sawa yeye hana taarfa hizo😂😂 ila kanishauri Dogo aandike barua iende Dodoma... ila sijui ofisi GaniNmepokea taarifa hapa, tangazo ni la kweli. Na limetumwa huko hili liwafikie watanznia wengi zaidi. Litakuwepo pia tpdf kesho
Godlover muajiriwa.. yupo hapa kwa kazi maalum! Haiwezekan kila kilichoqekwa hapo kibamilikiwa na tpdf yeye anasema ni la kitapeli. Sijui tapeli hapo kajiweka wapi. Na mm nimemtafutia shortcut twende saw.. Chelewa Chelewa ukute mwana si wakoHahaha huu ni Uongo bwana hakuna japokuwa kuna Mtu mimi kanitonya kuwa ni kweli ila nilivompigia Mzee kasema Tu umetoa wapi Taarifa nikasema Ajira portal akasema sawa yeye hana taarfa hizo😂😂 ila kanishauri Dogo aandike barua iende Dodoma... ila sijui ofisi Gani
Maelezo yote hayo kweny pdf bado hujui ofis ya kutuma? Au muajiriwa mwenzetu!? Jobless maelezo yametoshea kabisa na mpaka muda huu mm ndo namalizia malizia hapa postaHahaha huu ni Uongo bwana hakuna japokuwa kuna Mtu mimi kanitonya kuwa ni kweli ila nilivompigia Mzee kasema Tu umetoa wapi Taarifa nikasema Ajira portal akasema sawa yeye hana taarfa hizo😂😂 ila kanishauri Dogo aandike barua iende Dodoma... ila sijui ofisi Gani
Niamini mtu wa Mungu. Sipo hapa kupotosha.either Kuna taarifa imevuja lakini sio hii.Godlover muajiriwa.. yupo hapa kwa kazi maalum! Haiwezekan kila kilichoqekwa hapo kibamilikiwa na tpdf yeye anasema ni la kitapeli. Sijui tapeli hapo kajiweka wapi. Na mm nimemtafutia shortcut twende saw.. Chelsea Chelsea ukute mwana si wako
Mzee apo kwahiyo inatumwa kwa posta,EMS au email yao?Maelezo yote hayo kweny pdf bado hujui ofis ya kutuma? Au muajiriwa mwenzetu!? Jobless maelezo yametoshea kabisa na mpaka muda huu mm ndo namalizia malizia hapa posta
Email tu. Huna haja ya kutuma ems wala nn. Kama utapeli utajua hukohuko itwike kwenye email tuMzee apo kwahiyo inatumwa kwa posta,EMS au email yao?
RTS ndo wapi mkuu ili niwahi matizi na mm leo saa 9 tu mambo yasiwe mengi mbangaJmn naombeni sana niwaaminishe kuwa tangazo ni la kweli nililipata kutoka kwenye vyanzo vyangu vya kuaminika jana saa sita kasoro usiku.
Kwa kuongezea ni kwamba waliopo jkt barua hii wamesomewa leo asbh na wameambiwa kwa kuwa wao walishafanya uhakiki zitaanza kusomwa message na watu wataanza kwenda RTS kwa message.
By Zafrain sag.
RTS huingii kichwa kichwa ni mpka uwe na maelekezo mkuu,Ukihitajika utaitwa.RTS ndo wapi mkuu ili niwahi matizi na mm leo saa 9 tu mambo yasiwe mengi mbanga
😂😂😂Rtiesin kule Utapigwa tifu mpaka ukubali unafurahi saiz nasema ivi ukitoboa kozi nifukuzwe kazi hahaha nataniaRTS ndo wapi mkuu ili niwahi matizi na mm leo saa 9 tu mambo yasiwe mengi mbanga