Kalaga Baho Nongwa
JF-Expert Member
- Sep 27, 2020
- 9,953
- 23,150
Kalaga bahoHeee kumbe watu mmeshaandika na barua mnaanza kuattach vitu vinavyohitajika afu mimi nashangaa tu Dogo asije akabaki Kitaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kalaga bahoHeee kumbe watu mmeshaandika na barua mnaanza kuattach vitu vinavyohitajika afu mimi nashangaa tu Dogo asije akabaki Kitaa
Kazi maalum inayowaweka hapa jukwaanAchana nao pale ambapo watakuwa wameomba wachache wenye usikivu na wakachaguliwa kwenda kozi ndio zitaanza ningejua ningejua
Na sisi tuliosomewa barua jkt huku nako tunakula kwenu sio?Hakuna kitu hapo msijidanganye ajira za jeshi haziwagi hivo
Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
Tangazo linasema form four na six,Umri usizidi 25yrs na Jkt miaka miwili🇹🇿JWTZ Wametangaza Nafasi za kujiunga na Jeshi
👨🏽🎓 Wanahitajika Wenye Elimu kuanzia Darasa la saba ,form four ,six mpaka Chuo kikuuu
📧 KUTUMA MAOMBI BONYEZA HAPA 👉🏾 Nafasi za Kujiunga Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) 2024
▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬
Jamani ninyi ombeni tu ,coz kwenye ukurasa wa Suma JKT hili tangazo lipoTangazo linasema form four na six,Umri usizidi 25yrs na Jkt miaka miwili
Au kuna lingine?
Tatizo watu hawaelewi kuwa unafanya kwa kutuma posta au unapeleka kwa mkono DODOMA ndioo changamoto iliyopo SasaTANGAZO NI LA KWELI
tumeni application
Darasa la saba, diploma, degree excluded hapa hawajafanya fair
Mkihitajika MtaitwaTANGAZO NI LA KWELI
tumeni application
Darasa la saba, diploma, degree excluded hapa hawajafanya fair
Kama iki kupendeza ndugu we omba kama ulivyo ona, mi nime kutana nayo tu mtandaoni,na nika kumbuka hii thread, nime rushia mwenye kuhitaji achangamkie, mengine ndugu we chimba zaidi utayaonaTangazo linasema form four na six,Umri usizidi 25yrs na Jkt miaka miwili
Au kuna lingine?
Hahahaha hahahaha kwamba darasa la saba, diploma na degree tushone tutulieMkihitajika Mtaitwa
Kaka Mimi huko hapana,nawahangaikia madogoKama iki kupendeza ndugu we omba kama ulivyo ona, mi nime kutana nayo tu mtandaoni,na nika kumbuka hii thread, nime rushia mwenye kuhitaji achangamkie, mengine ndugu we chimba zaidi utayaona
Mujibu wa sheria nao vpTangazo linasema form four na six,Umri usizidi 25yrs na Jkt miaka miwili
Au kuna lingine?
Acha uvivu soma tangazo 😁Mujibu wa sheria nao vp
Poapoa mkuuKaka Mimi huko hapana,nawahangaikia madogo
Kwanza age go
Godlover alikataa kabisa. Anasema jeshini hawaweki namba za simu sasa sijui alituonaje?.. kumbe alitaka waombe wachache ili apate na yeyeMzigo tayari Rasmi umeachiwa kwenye website umewekwa wajuba shambulieni fursa hiyo