Adam john mbonile
Senior Member
- Oct 20, 2021
- 101
- 75
EMS Mzee maana ukisema posta ile ya bei ya chini unaweza shangaa maombi Yana Baki posta officeEMS au Posta wapi pana uhakika zaidi wakuu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
EMS Mzee maana ukisema posta ile ya bei ya chini unaweza shangaa maombi Yana Baki posta officeEMS au Posta wapi pana uhakika zaidi wakuu?
Yeah apo shangwe tu utaambiwa ubebe boxer nyingi,raba,buti, track suit n.kKwahiyo ukituma maombi wakiona unakizi vigezo unakutana na sms tamu ya wito RTS
Pamoja chifEMS Mzee maana ukisema posta ile ya bei ya chini unaweza shangaa maombi Yana Baki posta office
Mapema sana... kama kuna shortcut ya maisha mkuu usiiache. Hakuna tuzo ya mtesekaji bora! Yani dingi ateseke na mm niteseke mm si ntakuwa mwehuFaza kanisendiiiii😄
Uhakika ni kutimba tu Rts kuuma mzigoMapema sana... kama kuna shortcut ya maisha mkuu usiiache. Hakuna tuzo ya mtesekaji bora! Yani dingi ateseke na mm niteseke mm si ntakuwa mwehu
Ni ndani ya mwez huu huu wa nane kuingia shuleni au?Yeah apo shangwe tu utaambiwa ubebe boxer nyingi,raba,buti, track suit n.k
Iyo sijui mzee ngoja wajuvi waje lakini sidhani kama ni mwezi huu maana mwisho wa kutuma ni tarehe 14 so apo inaweza kuwa mwezi ujao labdaNi ndani ya mwez huu huu wa nane kuingia shuleni au?
Watu wanaanza kuzama Mwezi wa tisa rejea Comment zangu huko nyuma zina Code zote ila kisanga Doso watakalo pata hawa so poa bora uende Orj ila ukija Rtiesin Utakubali baba kanisendIyo sijui mzee ngoja wajuvi waje lakini sidhani kama ni mwezi huu maana mwisho wa kutuma ni tarehe 14 so apo inaweza kuwa mwezi ujao labda
Orj ni nini na Rtiesin ni nini?Watu wanaanza kuzama Mwezi wa tisa rejea Comment zangu huko nyuma zina Code zote ila kisanga Doso watakalo pata hawa so poa bora uende Orj ila ukija Rtiesin Utakubali baba kanisend
Oljoro kamaanisha na Rtiesini n msata.........ingawa zote ni RTS (oljoro&Kihangahiko)Orj ni nini na Rtiesin ni nini?
Mkuu unatak kusema raia watazama hata bila chet cha jakataWatu wanaanza kuzama Mwezi wa tisa rejea Comment zangu huko nyuma zina Code zote ila kisanga Doso watakalo pata hawa so poa bora uende Orj ila ukija Rtiesin Utakubali baba kanisend
MMmh swali lako linafikirisha sana kwenye vigezo wamesema lazima upitie jax sasa kam hujapitia inamaana uwe na mbanga wa uhakika unatoboa vizuri tuMkuu unatak kusema raia watazama hata bila chet cha jakata
😂😂😂😂😂Yeah apo shangwe tu utaambiwa ubebe boxer nyingi,raba,buti, track suit n.k
Mpe mbuyu dogo atoboe.MMmh swali lako linafikirisha sana kwenye vigezo wamesema lazima upitie jax sasa kam hujapitia inamaana uwe na mbanga wa uhakika unatoboa vizuri tu
Posta mzeeMbn Kuna wahuni wanasema barua inabid tupeleke dodoma Moja kwa Moja sio posta hii imekaaje
Jamaa wameenda ngome kabisa asa wananichanganya kweliPosta mzee
Watu wanaanza kuzama Mwezi wa tisa rejea Comment zangu huko nyuma zina Code zote ila kisanga Doso watakalo pata hawa so poa bora uende Orj ila ukija Rtiesin Utakubali baba kanisend