Black Codes Cracker
Senior Member
- May 7, 2022
- 188
- 238
- Thread starter
- #1,941
Kwahiyo sisi wenye 28-30 unatuambiaje..!? 😃Bado mtoto
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo sisi wenye 28-30 unatuambiaje..!? 😃Bado mtoto
Chekecha ikibidiKwahiyo sisi wenye 28-30 unatuambiaje..!? 😃
Mwanga wa milele uwaangazie, AminaKwahiyo sisi wenye 28-30 unatuambiaje..!? 😃
Tafuta mbanga wala usiangaike na kuchekecha miaka usisumbue vyeti kwani hamjui sheria ya Ajira Nchini?? Sheria haina limit ndogo kiasi icho mwisho kama sikosei 45years ndo mwisho wa kuajiriwa serikalini afu kumbukeni Kihangaiko ni kozi ya Ajira kwaiyo limit zimewekwa kupunguza tu watuKwahiyo sisi wenye 28-30 unatuambiaje..!? 😃
Kwahiyo sisi
Kwamba wauni wameghushi mpaka cha jax!!hehehe, ujasiri mwingine hata shetani hanaZa ndani kabisa inasemekana kuna barua zaidi ya 10000,
Na pia wapo walioghushi Nida na cheti cha jax,
42Unavaa Size ngapi Kiatu?
Mm nishaona watu age 30+ mbanga anawapiganiaIla kuna watu wanakata tamaa mapema mtu ana age 27 anasema age goo.. intake X tulipiga na wadau wana 34 years na kwenye cheti haijabadilisha kitu ila walikubali wenyewe doso la maana vikwazo viliwanyonga sanaaa
Hata kupit jkt kwa mbugila mbugila tu.. niamini mmAmini kaka mambo ya umri,Jax hivo n vigezo kwa sisi ambao hatuna connection
Hapo safi, nilidhani unataka kulipa Jeshi tabu ya kukutafutia buti za watoto
Hapo safi, nilidhani unataka kulipa Jeshi tabu ya kukutafutia buti za watoto
Kubaabake hahaha 34 tena?Au 34 hivi inategemea vinatoks nchi gan
Watu wqnaona sheria kama kitu kikubwa sana. Na wakat huo watu wanazivunja mbele yetuKwamba kuna watu wanaamini, watoto wa viongozi wenye 30+, na hawakupita Jax wanaweza kuzuiwa kujiunga na Jeshi?
Watu wqnaona sheria kama kitu kikubwa sana. Na wakat huo watu wanazivunja mbele yetuKwamba kuna watu wanaamini, watoto wa viongozi wenye 30+, na hawakupita Jax wanaweza kuzuiwa kujiunga na Jeshi?
Tundu 24 saiz ya chin ni ngapKubaabake hahaha 34 tena?
Sheria ni kwa maskini na watawaliwaWatu wqnaona sheria kama kitu kikubwa sana. Na wakat huo watu wanazivunja mbele yetu