Majan
JF-Expert Member
- Jul 2, 2015
- 1,271
- 1,828
duh nimeshukuru kuona jina ladogo ,Aya mambo aya yasikieni tu, yani nimepitia huu mkeka kwakitete ile mbaya nilivyomkuta adi nimepumuaPolisi wametoa majina hukoh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
duh nimeshukuru kuona jina ladogo ,Aya mambo aya yasikieni tu, yani nimepitia huu mkeka kwakitete ile mbaya nilivyomkuta adi nimepumuaPolisi wametoa majina hukoh
Hongera yake na kwako pia mkuu,Mafanikio yake ni yako pia.duh nimeshukuru kuona jina ladogo ,Aya mambo aya yasikieni tu, yani nimepitia huu mkeka kwakitete ile mbaya nilivyomkuta adi nimepumua
Yaaani unafurahi Dg lako kwenda Moshi kwenye upolisi 🤣🤣 Daaah bora nibaki sina kazi kuliko kuwa Polisiduh nimeshukuru kuona jina ladogo ,Aya mambo aya yasikieni tu, yani nimepitia huu mkeka kwakitete ile mbaya nilivyomkuta adi nimepumua
Maisha yametofautiana mkuu,wasomi wamekuwa wengi na ajira zimekuwa ngumu sana sasaiv,alafu kikubwa zaid kunamabomu niliamua kujivisha kwaiyo kama mambo yangeenda ndivyosivyo kuna lawama kubwa sana zingeniangukia,naweza sema hiki ndokitu kikubwa zaid kilichonifanya jamaa alivyotupia huo mkeka nikapekua jina ladogo kama sijui napekuwa niniYaaani unafurahi Dg lako kwenda Moshi kwenye upolisi 🤣🤣 Daaah bora nibaki sina kazi kuliko kuwa Polisi
Hongera Kwa kumpambania mdogo wako unapunguza idadi ya tegemezi katika familia na ukoo wenu. Mungu amtangulie katika mafunzo yake🙏Maisha yametofautiana mkuu,wasomi wamekuwa wengi na ajira zimekuwa ngumu sana sasaiv,alafu kikubwa zaid kunamabomu niliamua kujivisha kwaiyo kama mambo yangeenda ndivyosivyo kuna lawama kubwa sana zingeniangukia,naweza sema hiki ndokitu kikubwa zaid kilichonifanya jamaa alivyotupia huo mkeka nikapekua jina ladogo kama sijui napekuwa nini
Amina mkuuu ...nashangaa Wana dis police kaZ hiyo ...heri usiwe na kazi Wana utani Hawa dogo apate chance asiende abaki kitaaa , game tait siku ukiwa na changamoto za uchumi una taabika na kuteseka mwenyewHongera Kwa kumpambania mdogo wako unapunguza idadi ya tegemezi katika familia na ukoo wenu. Mungu amtangulie katika mafunzo yake🙏
🔥Wale wa Makutupora waliotoboa,kesho wanaenda Kihangaiko kwaajili ya maandalizi ya usaili wa vipimo.
Vijana wengi wamekuwa wajinga na wapumbavu. Yaani unakuta mtu anakaa nyumbani halafu anachagua kaziAmina mkuuu ...nashangaa Wana dis police kaZ hiyo ...heri usiwe na kazi Wana utani Hawa dogo apate chance asiende abaki kitaaa , game tait siku ukiwa na changamoto za uchumi una taabika na kuteseka mwenyew
Haa kufeni sasa 😀..Naona umeongea vitu ambavyo huvifahamu kabisa.
Taasisi ni tofauti na mtu binafsi.Taasisi inapawsa iendeshwe kama taasisi katika mambo yote.
Ukisema inafaa kuwaita watu kwa njia ya simu,mbona huo usaili hawakuutangaza kwa kupigia watu simu,na udhuri taarifa za vijana wote wliopitia JKT na JKU wanazo.
Tunachotetea sisi ni uwazi na uhakika wa taarifa,ili kuepusha rusha na sintofahamu.
Kumbuka kuna watu hata hizo namba walizoandika imebidi tu waombe labda kwa wazazi wao,kuna wengine wapo kwenye maeneo ambayo mtandao haupatikani,kuna wengine usikute simu imepata majanga haipo hewani,huyu tunampataje?Na je tukimkosa kuna hatua gani inayochukuliwa?
List ya wanochaguliwa kwenye usaili ikichapishwa inakuwa ni rahisi kwa marejeo na kumbukumbu.
Awamu zilizopita kuna watu walipigiwa mpaka na simu walipokwenda sehemu husika wakaambiwa majina yao hayapo,na mtu hana exhibit yeyote,vp huyu kama angelikuwa amechapisha pdf ya msurur akaenda nayo.
Hao wanaopigiwa simu wakakosekana,nafasi zao mara nyingi ndiohizo wanazopewa watu wengine tena kwa kuuziwa na rishwa,wewe unakosa.
Tunapokosoa huwa hatuchukii,tunakosoa kwa maslahi ya umma!!
Asa kaka c ukaimbe taarabu tu , mbona kama una kipaji ivi 🤔Haa kufeni sasa 😀..
Jeshi ni wanajeshi tu. Siasa peleka Tamisemi 😂😂
Ukikua utaacha!!Haa kufeni sasa 😀..
Jeshi ni wanajeshi tu. Siasa peleka Tamisemi 😂😂
Unaaza kuleta hadithi za kujifariji na kusifia upate ugari wako,ivi watanzania mna shida gani??Hii mimi pia nimeambiwa.
Tuendelee kuwa na matumaini wakuu.
Lakini pia wakuu wanaona maoni yetu humu ndani.
Wanaona vijana ambavyo wanapambana kuwa sehemu ya wapambanaji wa taifa hili.
Unawatamanisha vijanaA we tunaondoka aya twende.....
Simu bado hazijapigwa.. labda wamepata bahati ya kwenda Polisi 😁😁
Waende polisi kwanza . Kisha simu zikiita watorokeSimu bado hazijapigwa.. labda wamepata bahati ya kwenda Polisi 😁😁
🤣🤣mambo ya ajabu kinoma kijana mpambanaji ambae anaweza fanya kazi yyte ata ya kuchinga karanga anaenda Chichipii moshiiWaende polisi kwanza . Kisha simu zikiita watoroke