Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aya kawakilishe wenzako vyemaMe nimepigiwa leo
unaripoti wapiMe nimepigiwa leo
Umepigiwa na cm kutoka makao au wapi na uelekeo wapi??Me nimepigiwa leo
Uelekeo Dom ila nimeambiwa niende na nauli ya kurudi, kunifikisha mpaka nyumbanUmepigiwa na cm kutoka makao au wapi na uelekeo wap
Kmmk Umepigwa za uso kwaiyo wana uhakika utoboiUelekeo Dom ila nimeambiwa niende na nauli ya kurudi, kunifikisha mpaka nyumban
Muongo huyoMe nimepigiwa leo
Duh😳Uelekeo Dom ila nimeambiwa niende na nauli ya kurudi, kunifikisha mpaka nyumban
Sawa bro 🙏Muongo huyo
Watajua wenyewe ubaya ubwelaKmmk Umepigwa za uso kwaiyo wana uhakika utoboi
Ishu ni seriously au unaturush tuWatajua wenyewe ubaya ubwela
Unatoa ushauri humu daah ...Ila fresh ..Hawa jamaa sijui watatoa lini ila hili jambo la kupigiwa simu ni bora kungekuwa na mfumo rasmi yaani majina yanatoka watu walioitwa kwenye usaili na baadae waliopita kwenye usaili dunia sasa hivi inabadilika tuko kwenye technologies tunatumia mifumo ya zamani
Jeshi la wananchi ni letu sisi watanzania wote basi waliopo huko waweke mfumo mzuri ili kuondoa doubts katika jamii.
Jeshi ni la wanajeshi mkuuHawa jamaa sijui watatoa lini ila hili jambo la kupigiwa simu ni bora kungekuwa na mfumo rasmi yaani majina yanatoka watu walioitwa kwenye usaili na baadae waliopita kwenye usaili dunia sasa hivi inabadilika tuko kwenye technologies tunatumia mifumo ya zamani
Jeshi la wananchi ni letu sisi watanzania wote basi waliopo huko waweke mfumo mzuri ili kuondoa doubts katika jamii.
Msizimeeeee sm ..nyoosha maelezo Kuna mpya gani
Get Prepared mpaka mwakani kwenye tangazo Jipya la Ajira tukutane tena tukipeana Ronja kama hivi😂WANANGU WA ORJORO GET PREPARED
BADO NAMBA KUBWA YA ASKARI INAHITAJIKA, NA THIS MONTH TAR 19 SAFARI YA ORJORO ITAANZA TAKE NOTEGet Prepared mpaka mwakani kwenye tangazo Jipya la Ajira tukutane tena tukipeana Ronja kama hivi[emoji23]