Mik Jr
Member
- Sep 7, 2024
- 89
- 79
Ko sis WA uraiani Kuna uwezekan WA kuitwa ?Samahani sio wewe ni ndugu Zafrain sag na Mijadala Migumu na haikua tarehe 17 walisema kozi tarehe 7 mwez wa 10 ila mpaka Sasa hapo ndani ni bilabila...
Lakini cha kukujibu wewe hamna kozi mwezi huu kwani bado watu wanaingia na Usahili unafanyika