Godlover
Senior Member
- Jul 2, 2024
- 104
- 99
Una uwakika huku ni madogo Tu.Sema madogo wa humu mna moyo aiseeeeh! Hamchoki tu ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una uwakika huku ni madogo Tu.Sema madogo wa humu mna moyo aiseeeeh! Hamchoki tu ?
😄😄😄Una uwakika huku ni madogo Tu.
100% kwa kuanza na wewe.Una uwakika huku ni madogo Tu.
Huu ni Uongo hakuna kitu kama icho Ndugu yangu subiri TANGAZO JIPYA...Jamani lonja niliyo nayo kozi itaanza january mwishoni tutaanza kuingia oljoro mwezi wa 12
We kijana ww! …..we si ndo uliwaambia wenzio humu kua umepigiwa simu na uelekeo ni dodoma kwenye usaili😄Vijana kmy. Naona Ronja zimeisha Sasa
👏🏿✅Jamani lonja niliyo nayo kozi itaanza january mwishoni tutaanza kuingia oljoro mwezi wa 12
Jamani lonja niliyo nayo kozi itaanza january mwishoni tutaanza kuingia oljoro mwezi wa 12
Huo mwaka ilikuwa intake ya 41 ambayo walikuwa na ujenzi wa chamwino na wote waliitwa kwa pamoja msata ndo wakakatwa Bogi la watu kama buku kwenda oljoro.. ile ilikuwa special ivo saizi muote hakuna kitu kama icho tena..Yawezekana…..maana naambiwa kuna mwaka kozi ilipigwa sehem2 msata na oljoro….msata walianza kozi tareh30 mwezi 12 kuelekea mwaka mpya then oljoro wakaja kuanza kozi baadae mwez wa3.
Huo mwaka ilikuwa intake ya 41 ambayo walikuwa na ujenzi wa chamwino na wote waliitwa kwa pamoja msata ndo wakakatwa Bogi la watu kama buku kwenda oljoro.. ile ilikuwa special ivo saizi muote hakuna kitu kama icho tena..
kazi kwisha kama kutakua na wa oljoro ni wale bms basiHahahah mkuu mbona unakazia sna….au ww upo chomboni tena jikoni pale ngome kabisa kweny ofisi ya CP😄
Apo sawa Oljoro labd BmS tu nao mia 300 Tukazi kwisha kama kutakua na wa oljoro ni wale bms basi
350Apo sawa Oljoro labd BmS tu nao mia 300 Tu
Mkuu ni mwendo wa kupiga dua nyingi na uwe mvumilivu😅😅Hakuna mtu anajua kutia moyo kama huyu jamaa #jax66, 😂😂 Watu walikua washaanza kukubaliana na matokeo naona unaoturudisha Tena kwenye mixed feelings mzee🥲😂
M60 pumzikeni kidogHlo bog la op mabeyo au na op miaka 60
Watu washaanza kuripoti oljoro mkuu?M60 pumzikeni kidog
Bado kuna vuta ni kuvute tarehe lasmi ndio badoWatu washaanza kuripoti oljoro mkuu?
Anhaa.…so mkuu ilo bogi si ndo litajumuisha na wale waliotuma maombi kwa tangazo lile la mwezi july la kuandikishwa jeshin kwa vijana wa uraiani?Bado kuna vuta ni kuvute tarehe lasmi ndio bado