Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

Anhaa.…so mkuu ilo bogi si ndo litajumuisha na wale waliotuma maombi kwa tangazo lile la mwezi july la kuandikishwa jeshin kwa vijana wa uraiani?
Ndio ata bog la msata wamechukua pia mtaani
 
Iko ivi kwa mujibu wa mbanga yangu. Now ipo jamhuri ya afrika ya kati kaondoka tarehe 16-11-2024 ni braza angu kabisa wa Damu ni afisa wa jeshi la ulinzi. Nanukuu "dogo me tutaendelea kuwasiliana lakini ishu ipo bogi lenu litakua oljoro mnachanganywa na wasomi ila hamtakua wengi nimeakikishiwa kabisa kasema hata wakiita 10 jina lako halikosi"" Jana nikachati nae WhatsApp kasema ni pagumu sio rahisi kwasababu nafasi za wasomi zote wamegawiwa wakubwa na yeye Kuna mkubwa ndio amejichomeka nae kwahio kwa nafasi zilizopo waomba Mungu tuendelee kulima Hakuna kupeana matumaini ila Kama una mbanga gonga yai kunywa maji mengi jiandae na coz. Mkitaka na visibitisho vya screenshot ntawatumia wakubwa SIWADANGANYI
 
Back
Top Bottom