afande mura
New Member
- Nov 27, 2024
- 4
- 6
Msiogope vijana kabla ya huu mwaka kuisha mtapata majibu ya maswali yenu yote kueni na subra
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aloooo tutakoma😅😅😅Mana inaishia hapo
rotate simu iyoMana inaishia hapo
Kuna mshikaji alitoa m4 na akatemwaInategemeana na ukubwa wa bahasha na nani anapokea
Kuna watu wanakusanya mpaka milion 6+ nyie hizi ajira zisikieni tuu 🤐😀🫣
Atafute mtu wa uwakikaWapo wengi sana mitonyo imepigwa na lakufanya huna...
Sema mkuu Mwachiluwi wewe upo chomboni kabisaKuna mshikaji alitoa m4 na akatemwa
Hapana najitafuta mkuuSema mkuu Mwachiluwi wewe upo chomboni kabisa
fAtafute mtu wa uwakika
Hahah mbona kama nakataa mkuu 😃Hapana najitafuta mkuu
Mkuu unanifwatilia kwa karibu sana eti ahahahahahhaKwenye pdf lililopita la uhamiaji la mwezi April mwaka huu kuna mtu anaitwa Mwachiluwi….vip ni ndugu yako au ndo ww mwenyew mkuu??
f
Amna mkuu mm sikufatiliiMkuu unanifwatilia kwa karibu sana eti ahahahahahha
Sio mimi mkuuAmna mkuu mm sikufatilii
Unaongelea majibu ya Jwtz ....au majeshi mengine?Msiogope vijana kabla ya huu mwaka kuisha mtapata majibu ya maswali yenu yote kueni na subra
YesHivi kwa waombaji wa kidato cha sita na nne kwenye post za uhamiaji nao wanaweka CV?
CV gan sasa na umeishia kidato cha 6
Hakuna Cv apoHivi kwa waombaji wa kidato cha sita na nne kwenye post za uhamiaji nao wanaweka CV?
Ndo nashangaaCV gan sasa na umeishia kidato cha 6