Chotti de Alba
JF-Expert Member
- Sep 1, 2013
- 348
- 106
Kwa wanafunzi wa vyuoni si jambo geni sana kwa lecturers kuwa na mamlaka ya kufanya wanafunzi wafeli na kujitapa kabisa! Imekuwa kero lakini hakuna pa kuyapeleka.utamwambia nani?mwalinu anakuwa na nguvu ya kusema utarudia somo langu hata mara tano!jaman ni janga