Ni lini lecturers watapunguza mamlaka ya kuamua mwanafunzi gani afaulu na yupi afeli

Ni lini lecturers watapunguza mamlaka ya kuamua mwanafunzi gani afaulu na yupi afeli

DAWA moja kigongo sana kwa lecturers wasumbufu ni kuhakikisha unafanya yafuatayo:
1. Hakikisha unasoma kozi unayoipenda na KUIMUDU.
2. Hudhuria vipindi vyote darasani.
3. Fanya test na assignment zote.
4. Hakikisha unascore 70%+ kwenye test, assignments na paper zote (Jisomee na kuelewa unachosoma)
5. Tusikuone Facebook (the greatest time waster for useless people)
6. Kila dakika jikumbushe mstari huu: "hapa chuo/shule nimefuata masomo"

ukilenga kufanya hayo HAKUNA lecturer au mtu yeyote atakayekutisha hapa ulimwenguni, achilia mbali duniani.
Absolutely!

Matatizo ya kitaaluma mara nyingi mwanafunzi mwenyewe anakuwa amechangia pa kubwa tu na ni machache sana ambayo genuinely yanaletwa/kuanzishwa na wahadhiri. Katika kipindi nilichosoma mimi wanafunzi waliokuwa wana-disco au ku-sup walikuwa obvious kwa kutizama tu mienendo yao katika kujishughulisha na shule (ni wachache sana ambao mtu unaweza hasa kushangaa ukisikia ame-disco au ku-sup).
 
Halafu jamani ebu tuelewe jambo moja ktk mjadala huu,nimeona wadau wengi wamezungumzia role ya maexternal exerminers ktk kuhakiki matokeo ya wanafunzi chuoni,lakini iyeleweke wazi kuwa hao maexternal exerminers wanapokuja kuhakiki matokeo haina maana watachukua booklets zote za wanafunzi na kuanza kuikagua moja baada ya nyengine la hasha!bali kinachofanyika ni kwamba huwa wanakagua zle pepa za wanafunzi walioanguka saaaaana na pia wliofaulu saaana.Tatizo linakuja kwa hawa wenye matokeo ya kati au waliofeli kwa kiwango cha kupata "D"(supp ya kawaida).Kwa maana iyo tatizo la wahadhiri kuwatisha wanafunzi na hata kuwashika kweli ktk usahihishaji ni suala ambalo lipo na ni sugu kwa kweli,mm mwnyw ni shahidi wa hayo as kuna lecturer wng mmoja yy hutuambia mapema hata kabla ya mtihani kuanza kwamba semista hii atawakamata wangapi(idadi) na ndicho kinachotokea.TATIZO HILI LIPO KWELI VYUONI NA WALA SOMETIMES SIO TATIZO LA MADENT@MLETA MADA....I support 100%
 
Halafu jamani ebu tuelewe jambo moja ktk mjadala huu,nimeona wadau wengi wamezungumzia role ya maexternal exerminers ktk kuhakiki matokeo ya wanafunzi chuoni,lakini iyeleweke wazi kuwa hao maexternal exerminers wanapokuja kuhakiki matokeo haina maana watachukua booklets zote za wanafunzi na kuanza kuikagua moja baada ya nyengine la hasha!bali kinachofanyika ni kwamba huwa wanakagua zle pepa za wanafunzi walioanguka saaaaana na pia wliofaulu saaana.Tatizo linakuja kwa hawa wenye matokeo ya kati au waliofeli kwa kiwango cha kupata "D"(supp ya kawaida).Kwa maana iyo tatizo la wahadhiri kuwatisha wanafunzi na hata kuwashika kweli ktk usahihishaji ni suala ambalo lipo na ni sugu kwa kweli,mm mwnyw ni shahidi wa hayo as kuna lecturer wng mmoja yy hutuambia mapema hata kabla ya mtihani kuanza kwamba semista hii atawakamata wangapi(idadi) na ndicho kinachotokea.TATIZO HILI LIPO KWELI VYUONI NA WALA SOMETIMES SIO TATIZO LA MADENT@MLETA MADA....I support 100%

Thanx 4 the support na hadi naipost hii thread ckuwa na doubts zozote za nnachokiongea..at least there r someppo huko ambao 2naface same problems..this is a common issue na. Ingekuwa bahati mbaya basi idadi ya sup anayokuwa anaitaja lecturer kabla hajasahisha isingekuwa inafanana na matokeo yenyewe.yani inakuwa vilevile kama alivokuwa anataka. Jaman nawaomba tena serikali mtusaidie jamani tunaomba najua mna mamlaka
 
Mkuu naomba nikusaidie/niwasaidie (kwa yeyote atakayehusika) hapa kwa kutoa maoni yangu kulingana na mazingira na mfumo mzima wa maisha ya chuo. Kwa kawaida kila mwanafunzi chuoni hutakiwa kuwa na mshauri wake wa masuala ya taaluma (Academic advisor) na kabla ya muhula kuanza kila mwanafunzi hupangiwa mshauri wake na majina hupelekwa kitivo husika. Mkuu/Mlezi wa kitivo (Faculty Dean) hutakiwa kuwafahamisha wanafunzi wa kitivo chake kuhusu washauri wao waliopangiwa.

Sasa linapotokea tatizo lolote la kitaaluma mwanafunzi hutakiwa kushirikiana na serikali ya wanafunzi ya chuo kupitia ngazi zifuatazo kwa mpangilio wake ili kuweka mambo sawa:

1. Academic Advisor (Uliyepangiwa siku unaanza chuo na una uhuru wa kubadilisha)

2. Head of Department (inakopatikana kozi iliyoleta utata)

3. Dean of Faculty

4. Senate (hapa ndipo maamuzi ya mwisho hufanyika baada ya 1,2 na 3 kushindikana)

Usiporidhika na maamuzi ya Senate hatua inayofuata ni kwenda mahakamani. Hivi ndivyo ninavyoelewa kuhusu utatuzi wa migogoro ya kitaaluma chuoni ila kuna wanaoelewa zaidi na watatuelimisha hatimaye kila kitu kitakwenda sawa.

Mkuu unamaanisha vyuo vya hapa bongo au majuu? kama ni hapa tz umechemka kwani huo ni utaratibu wa kwenye maandishi tu na sio wa kiutendaji , eti umpeleke muhadhiri wa vyuo vya bongo mahakamani au kwenye senate,
mkuu labda kama unazungumzia uzooefu wako kwa vyuo vya nje ya nchi hasa ulaya na amerika lakini sio bongoland hii.
 
M mwenyewe nakarbia kuwa lect kwangu m ctoweza kumuonea m2 but yule ambaye hana heshima lazima ataacount, na hata kama we mwenyewe utapata nafas unaweza jua so usilaum saana na kuhukum saana.

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Mkuu unamaanisha vyuo vya hapa bongo au majuu? kama ni hapa tz umechemka kwani huo ni utaratibu wa kwenye maandishi tu na sio wa kiutendaji , eti umpeleke muhadhiri wa vyuo vya bongo mahakamani au kwenye senate,
mkuu labda kama unazungumzia uzooefu wako kwa vyuo vya nje ya nchi hasa ulaya na amerika lakini sio bongoland hii.

Seriously hakuna implementation yoyote ya hizo procedures na sheria mtu anapokuwa na uongozi chuoni basi ataamua kufanya anavotaka tu
 
halafu msichana ukiwa SMART (kichwani) & SERIOUS, hakuna mwalimu atakayekusumbua. Waalimu wapenda vibinti ni kama FISI tu, mambo yao kwa kuvizia wadhaifu, hasa wanaochekacheka. chukua hiyo uifanyie kazi
 
halafu msichana ukiwa SMART (kichwani) & SERIOUS, hakuna mwalimu atakayekusumbua. Waalimu wapenda vibinti ni kama fisi tu, mambo yao kwa kuvizia wadhaifu. chukua hiyo uifanyie kazi

Fact!! N thts so true
 
Ni hapo tutakapoacha kutegemea maamzi ya kitaalam, ndipo hata madaktari wa hospitali nao wtapunguza kuamua nani afe na nani asife.
 
Kuna mwalimu alishawahi kugoma kunisahihishia swali na kuniambia nikalalamike popote nnapotaka.
 
Back
Top Bottom