Ni lini nchi yetu itaanza kulipa watumishi kwa masaa badala ya malipo kwa mwezi?

Ni lini nchi yetu itaanza kulipa watumishi kwa masaa badala ya malipo kwa mwezi?

Bushmamy

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2019
Posts
9,140
Reaction score
15,963
Serikali inatakiwa ibadili mfumo mzima wa maisha ya nchi hii na kwa wananchi wake.

Hiyo mambo ya mwisho wa mwezi ni zilipendwa. Tumeshiklia kanuni za mkoloni zile zile kubadilika hatutaki.

Serikali haina plan B miaka nenda miaka rudi.

Sasa hivi watu wanajifanyia kazi kwa mazoea tu na si kwa kujituma huku wakijua mwisho wa mwezi mshahara utaingia tu.

Badiliko dogo kama hilo nchi inashindwa ndo mana hatuendelei tunabaki kunga'nga'na na wapinzani, huku chama tawala kikiwa hakina mbele wala nyuma.
 
Bushmamy bado tunakatiba ya mkoloni mweupe lakini kwa hali ya dunia inavyokwenda tungekuwa na katiba inayosadifu mazingira yetu ya Tanzania hayo yote unayoongea yangekuwa safi kabisa lakini leo hii ripoti ya CAG inasema mtu mmoja amenunua maandazi ya milioni 800 mwingine amechukua bilioni 1.7 huku akijua katiba hii ya kikoloni haiwezi kumfanya chochote
 
Serikali inatakiwa ibadili mfumo mzima wa maisha ya nchi hii na kwa wananchi wake.
Hiyo mambo ya mwisho wa mwezi ni zilipendwa. Tumeshiklia kanuni za mkoloni zile zile kubadilika hatutaki.
Serikali haina plan B miaka nenda miaka rudi.

Sahiv watu wanajifanyia kazi kwa mazoea tu na si kwa kujituma huku wakijua mwisho wa mwezi mshahara utaingia tu.
Badiliko dogo kama hilo nchi inashindwa ndo mana hatuendelei tunabaki kunga'nga'na na wapinzani,huku chama tawala kikiwa hakina mbele wala nyuma.
Sawa kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wazo zuli tatizo litakuja kwenye utekelezaji.
 
Assume kwamba una mshahara wa 540,000/= gross (kima cha kati).

Kwa wiki 45 hours, kwa mwezi 180 to 200 hrs.

Now: 540,000/180 = 3,000 kwa saa (gross).

Ukiweka makato ya PAYE, NSSF, HESLB, NHIF nk net itakuwa around 1,700 kwa saa. Hii itasababisha watu washtuke kwamba wanalipwa kidogo sana.

Maana mtu ukichukua hiyo 1,700 ukazidisha kwa masaa 9 unapata almost 15,300 kwa siku. Imagine, ni business ngapi mtaani unaweza kutengeneza kiasi hiki kwa siku? Mind you, hii ni revenue, siyo profit.
 
Assume kwamba una mshahara wa 540,000/= gross (kima cha kati).

Kwa wiki 45 hours, kwa mwezi 180 to 200 hrs.

Now: 540,000/180 = 3,000 kwa saa (gross).

Ukiweka makato ya PAYE, NSSF, HESLB, NHIF nk net itakuwa around 1,700 kwa saa. Hii itasababisha watu washtuke kwamba wanalipwa kidogo sana.

Maana mtu ukichukua hiyo 1,700 ukazidisha kwa masaa 9 unapata almost 15,300 kwa siku. Imagine, ni business ngapi mtaani unaweza kutengeneza kiasi hiki kwa siku? Mind you, hii ni revenue, siyo profit.
Ndo maana hatuwezi endelea, vile tunanyonyana wenyewe kwa wenyewe
 
Serikali inatakiwa ibadili mfumo mzima wa maisha ya nchi hii na kwa wananchi wake.
Hiyo mambo ya mwisho wa mwezi ni zilipendwa. Tumeshiklia kanuni za mkoloni zile zile kubadilika hatutaki.
Serikali haina plan B miaka nenda miaka rudi.

Sahiv watu wanajifanyia kazi kwa mazoea tu na si kwa kujituma huku wakijua mwisho wa mwezi mshahara utaingia tu.
Badiliko dogo kama hilo nchi inashindwa ndo mana hatuendelei tunabaki kunga'nga'na na wapinzani,huku chama tawala kikiwa hakina mbele wala nyuma.
Nchi gani ambayo raia wote wanalipwa kwa saa?
 
Serikali inatakiwa ibadili mfumo mzima wa maisha ya nchi hii na kwa wananchi wake.
Hiyo mambo ya mwisho wa mwezi ni zilipendwa. Tumeshiklia kanuni za mkoloni zile zile kubadilika hatutaki.
Serikali haina plan B miaka nenda miaka rudi.

Sahiv watu wanajifanyia kazi kwa mazoea tu na si kwa kujituma huku wakijua mwisho wa mwezi mshahara utaingia tu.
Badiliko dogo kama hilo nchi inashindwa ndo mana hatuendelei tunabaki kunga'nga'na na wapinzani,huku chama tawala kikiwa hakina mbele wala nyuma.
Hata wafanyakazi Wa chadema hawalipwi kwa masaa hulipwa kwa mwezi hilo unaliongekeaje?
 
Ni manufaa gani yatakayopatikana kwa kumlipa mtu kwa saa ? Utajuaje amefanya kazi masaa mangapi kwa siku ? anaweza kuingia kukaa na kompyuta mpaka jioni anachat tu kwa mtandao.
 
Mbona serikali tayari inalipa mishahara kwa masaa. Chukua salary yako gawanya kwa siku 30 then kwa saa basi.
 
Back
Top Bottom