mbu wa dengue
JF-Expert Member
- Jun 2, 2014
- 8,860
- 11,554
halafu amesahau na kitu kingine kwamba kujituma kwenye kazi ni spirit ya mtu,na wabongo automatically hatuna hiyo spirit.
mbona kenya wanalipwa kwa mwezi na wanachapa kazi vizuri bila ya kusimamiwa na mtu.
mtu akishakuwa mvivu hata umlipe kwa saa au dakika haiwezi kuondoa uvivu wake.
Sent using Jamii Forums mobile app
mbona kenya wanalipwa kwa mwezi na wanachapa kazi vizuri bila ya kusimamiwa na mtu.
mtu akishakuwa mvivu hata umlipe kwa saa au dakika haiwezi kuondoa uvivu wake.
Nchi gani duniani ambako wafanyakaxi Wa serikali hulipwa kwa Masaa badala ya mwisho Wa mwezi? Tupe mfano mmoja tu
Wazo la kijinga tu hili
Sent using Jamii Forums mobile app