The Phylosopher
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 1,968
- 2,957
Kuna wakati ukizoea sana shida huwa unaacha kuichukulia kama shida ila inageuka kuwa kama maisha ya kawaida.
Kwenye majiji makubwa hasa Dar, Dodoma Mwanza Mbeya na Arusha majira ya asubuhi na jioni wananchi hupata mateso makubwa sana wanapohitaji kusafiri Kwa kutumia daladala.
Licha ya kuwa Ili kuipanda hiyo gari unahitaji nguvu za ziada, hata humo ndani mmejaa kama gunia za mkaa. Ukweli ni kwamba utaratibu huu sio mzuri wala sio sahihi Kwa jamii iliyostaarabika.
Ninaamini kama serikali ikiwa serious inaweza kumaliza hili jambo. Maana ni jambo linalohitaji utashi tu. Ifike wakati daladala ipakie watu level seat basi.
Haya mambo ya kuvunjana viuno kisa kupanda gari yapitwe na wakati.
Kwenye majiji makubwa hasa Dar, Dodoma Mwanza Mbeya na Arusha majira ya asubuhi na jioni wananchi hupata mateso makubwa sana wanapohitaji kusafiri Kwa kutumia daladala.
Licha ya kuwa Ili kuipanda hiyo gari unahitaji nguvu za ziada, hata humo ndani mmejaa kama gunia za mkaa. Ukweli ni kwamba utaratibu huu sio mzuri wala sio sahihi Kwa jamii iliyostaarabika.
Ninaamini kama serikali ikiwa serious inaweza kumaliza hili jambo. Maana ni jambo linalohitaji utashi tu. Ifike wakati daladala ipakie watu level seat basi.
Haya mambo ya kuvunjana viuno kisa kupanda gari yapitwe na wakati.