Ni lini Serikali itaondoa/ itamaliza kadhia na mateso ya usafiri wa daladala kwenye majiji makubwa?

Ni lini Serikali itaondoa/ itamaliza kadhia na mateso ya usafiri wa daladala kwenye majiji makubwa?

Nataka Nikwambie Ukweli Ambao Hausemwi/Hautasemwa Kamwe Ingawa Watanzania Siyo Wajinga
Unayoyaona Sasa Kwenye Majiji Tanzania Yanafanywa Kwa Makusudi Kabisa Ili Watanzania
Wakose Muda Wa Kuwaza Maendeleo

Serikali Mfano Dar Inaona Yote Ila Inajua Wazi Miradi Ama Mipango Yote Mizuri Endapo Itakamilika Watapiga Cash Wapi
Kuanzia Mwaka Huu Hadii Mwakani CAG Atasema Hati Safi Tu Kuitetea CCM Itapokwenda Kwa Wananchi, Dar Hakuna Wananchi Wanapata Raha Muda Wote Lengo Wagawanye Kupitia Shida Mbalimbali, Ajira, Matibabu, Usafi, Chakula
 
Kwa hiyo unamaanisha ripot ya cag ni fix?
Nataka Nikwambie Ukweli Ambao Hausemwi/Hautasemwa Kamwe Ingawa Watanzania Siyo Wajinga
Unayoyaona Sasa Kwenye Majiji Tanzania Yanafanywa Kwa Makusudi Kabisa Ili Watanzania
Wakose Muda Wa Kuwaza Maendeleo

Serikali Mfano Dar Inaona Yote Ila Inajua Wazi Miradi Ama Mipango Yote Mizuri Endapo Itakamilika Watapiga Cash Wapi
Kuanzia Mwaka Huu Hadii Mwakani CAG Atasema Hati Safi Tu Kuitetea CCM Itapokwenda Kwa Wananchi, Dar Hakuna Wananchi Wanapata Raha Muda Wote Lengo Wagawanye Kupitia Shida Mbalimbali, Ajira, Matibabu, Usafi, Chakula
 
Tatizo la Dar hakuwa diversity asilimia kubwa ya abiria asubuhi ukitoa wanafunzi ,wanaelekea sehemu zile zinazofanana yaani ni kariakoo na posta ndio kweny biashara na ofisi nyingi...


Yaani balaa bora kuweka ofisi na masoko kila sehemu .
 
Back
Top Bottom