Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiii ndugu sasa ipi Tena?Serikali ipi? Hii ya akina Nape?
Be serious abiria nani kakwambia hapendi levo seat.Levo seat abiria wenyewe ndo hawapendi.
Nataka Nikwambie Ukweli Ambao Hausemwi/Hautasemwa Kamwe Ingawa Watanzania Siyo Wajinga
Unayoyaona Sasa Kwenye Majiji Tanzania Yanafanywa Kwa Makusudi Kabisa Ili Watanzania
Wakose Muda Wa Kuwaza Maendeleo
Serikali Mfano Dar Inaona Yote Ila Inajua Wazi Miradi Ama Mipango Yote Mizuri Endapo Itakamilika Watapiga Cash Wapi
Kuanzia Mwaka Huu Hadii Mwakani CAG Atasema Hati Safi Tu Kuitetea CCM Itapokwenda Kwa Wananchi, Dar Hakuna Wananchi Wanapata Raha Muda Wote Lengo Wagawanye Kupitia Shida Mbalimbali, Ajira, Matibabu, Usafi, Chakula
Konda akisema gari imejaa huwa unamuelewa?Be serious abiria nani kakwambia hapendi levo seat.