Nataka Nikwambie Ukweli Ambao Hausemwi/Hautasemwa Kamwe Ingawa Watanzania Siyo Wajinga
Unayoyaona Sasa Kwenye Majiji Tanzania Yanafanywa Kwa Makusudi Kabisa Ili Watanzania
Wakose Muda Wa Kuwaza Maendeleo
Serikali Mfano Dar Inaona Yote Ila Inajua Wazi Miradi Ama Mipango Yote Mizuri Endapo Itakamilika Watapiga Cash Wapi
Kuanzia Mwaka Huu Hadii Mwakani CAG Atasema Hati Safi Tu Kuitetea CCM Itapokwenda Kwa Wananchi, Dar Hakuna Wananchi Wanapata Raha Muda Wote Lengo Wagawanye Kupitia Shida Mbalimbali, Ajira, Matibabu, Usafi, Chakula