Kama kuna mhitimi, mlezi au mzazi aliipa CCM kura kwa ahadi ya ajira za walimu huyo ni chiziHakuna ajira za haraka waambie waendele na kilimo, kubet, twishieni kujipatia ugali wa kila siku.
Mh anajitapata kutengeneza ajira million 8 ambazo ni ndoto nzito tujipe muda