Ni lini Traffic Police watatumia akili? Maamuzi kama haya ni ya kipumbavu

Ni lini Traffic Police watatumia akili? Maamuzi kama haya ni ya kipumbavu

Mikese
Sijaelewa hapa
Umesema mlisimamishwa Msolwa ikimaanisha mlishapita Kigwaza ilipo mizani na Chalinze, sasa hiyo foleni ya mizani imewazuiaje wakati Msolwa ipo karibu na Mdaula mbali kabisa na ilipo mizani?
 
Mkuu labda uliwaambia huwa una panda ndege always... Ila mambo yanabadilika
Hahahah wapi ndugu yangu. Hebu aseme wapi niliwahi kusema Niko airport, Kila siku Mimi na mabasi na malori hahahah ana makasiriko tu binafsi
 
Walikosea sana kutoweka vigezo kupata mafunzo ya uaskari. Hawa watu sijui wanatumiaga akili gani kupembua mambo.
 
Tutakuaminije bila picha. Simu si unayo
Sio kesi
20230421_093443.jpg
 
Hahahah wapi ndugu yangu. Hebu aseme wapi niliwahi kusema Niko airport, Kila siku Mimi na mabasi na malori hahahah ana makasiriko tu binafsi
Aisee 😂😂😂😂 daaah lakini ndio watu walivyo...ukiwa na taaabu wanafurah, ukiwa na raha wanafurah sometimes wanachukia pia yan hawaeleweki, unaenda nao sawa hivyo hivyo
 
Madereva wanapaswa kuwatii askari wa usalama. Kazi yao ni muhimu sana kuhakikisha usalama wetu. Tungekuwa na ^mkanda^ mzima, lazima tu huyo dereva alivuka ^mpaka!^

Hatarudia next time, nakwambia. Tulijenge taifa letu kwa amani na busara.
Nina wasiwasi na kauli za huyo dereva japo sitetei uonevu wa askari!!

Kitendo cha dereva kujibu atakwama kwenye tope ndo kimefanya akamatwe?

Kipo cha ziada sio bure..
 
Aisee 😂😂😂😂 daaah lakini ndio watu walivyo...ukiwa na taaabu wanafurah, ukiwa na raha wanafurah sometimes wanachukia pia yan hawaeleweki, unaenda nao sawa hivyo hivyo
Basi, nimempuuza! Mungu akubariki kwa ushauri wako! Uwe na wakati mwema
 
Ndugu umekosea ungechukua namba ya huyo askari kichaa. Hata nyie abiria hamjitambuhi na hamna ushirikiano mgegoma kuondoka hapo.
Kweli Kabisa huu udhalimu hauwezi kufika mwisho bila ushirikiano, ila Kwa Sasa hapa Dar polisi ni wengi wanalinda Zebra crossing na kula Kwa urefu WA kamba!!
Fikiria vituo vya dala dala vimekuwa replaced na polisi badala ya wapiga debe!! Njoo hapa River side Ubungo ujionee maajabu ya Musa
 
Huenda una chuki binafsi na Mimi au una wivu usio na sababu au una stress TU, Mimi Nina makeke gani? Wapi niliwahi kusema napanda ndege? Kila siku nandika thread mabasi yaruhusiwe kusafiri usiku sisi wa Kasulu tusilale njiani, ni wapi niliwahi kuonyesha makeke?

Kwahio hukuona hata kama nilichoandika kina mantiki au lah ukaona unishambulie Mimi? Sijawahi hata kukutana na wewe, unawezaje kunihukumu kiasi hiki? Mimi ni mganga njaa tu na kama Kuna kidogo Niko nacho basi ni jasho langu kwa uwezo wa Mungu.

Kuna siku niliwahi kukutukana au kumdharau MTU kwa ulinganifu wa mali au vitu?? Aisee umenishangaza mno.

Kwahio wewe Kila siku una KAZI ya kufuatilia nimepost au nimekomenti nini? Duh 🙄
Hewaa! Unapoposti sie tunakufuatilia, leo umenielewa shangaza kupanda basi kama sie wakati Mbeya ndege bwelele!
 
Namkakubali gari liondoke [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom