Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
- Thread starter
-
- #41
Sijaelewa hapa
Umesema mlisimamishwa Msolwa ikimaanisha mlishapita Kigwaza ilipo mizani na Chalinze, sasa hiyo foleni ya mizani imewazuiaje wakati Msolwa ipo karibu na Mdaula mbali kabisa na ilipo mizani?
Hahahah wapi ndugu yangu. Hebu aseme wapi niliwahi kusema Niko airport, Kila siku Mimi na mabasi na malori hahahah ana makasiriko tu binafsiMkuu labda uliwaambia huwa una panda ndege always... Ila mambo yanabadilika
Hahahaha π€£ sometimes nalazimika kuaminiUkitaja neno POLISI hasa TRAFIKI usitegemee swala la AKILI hapo.. sio wote ila kati ya 10/1 ndio ana Akili ya wastani.
Hahahaaha wako humu ndaniSijawahi kuona wanatumia akili maishani mwangu
Yanawaza ujinga
Hakika NduguSalute salute mkuu, nchi inahitaji mtu kama wewe,push push push back
Sometimes ni Ile Hali ya kujiona huna thamaniWalikosea sana kutoweka vigezo kupata mafunzo ya uaskari. Hawa watu sijui wanatumiaga akili gani kupembua mambo.
Sio kesiTutakuaminije bila picha. Simu si unayo
Aisee ππππ daaah lakini ndio watu walivyo...ukiwa na taaabu wanafurah, ukiwa na raha wanafurah sometimes wanachukia pia yan hawaeleweki, unaenda nao sawa hivyo hivyoHahahah wapi ndugu yangu. Hebu aseme wapi niliwahi kusema Niko airport, Kila siku Mimi na mabasi na malori hahahah ana makasiriko tu binafsi
Nina wasiwasi na kauli za huyo dereva japo sitetei uonevu wa askari!!Madereva wanapaswa kuwatii askari wa usalama. Kazi yao ni muhimu sana kuhakikisha usalama wetu. Tungekuwa na ^mkanda^ mzima, lazima tu huyo dereva alivuka ^mpaka!^
Hatarudia next time, nakwambia. Tulijenge taifa letu kwa amani na busara.
Basi, nimempuuza! Mungu akubariki kwa ushauri wako! Uwe na wakati mwemaAisee ππππ daaah lakini ndio watu walivyo...ukiwa na taaabu wanafurah, ukiwa na raha wanafurah sometimes wanachukia pia yan hawaeleweki, unaenda nao sawa hivyo hivyo
Ingekua vinginevyo ningeandika tu Wala Sina shaka, ni hivyo tuNina wasiwasi na kauli za huyo dereva japo sitetei uonevu wa askari!!
Kitendo cha dereva kujibu atakwama kwenye tope ndo kimefanya akamatwe?
Kipo cha ziada sio bure..
Kweli Kabisa huu udhalimu hauwezi kufika mwisho bila ushirikiano, ila Kwa Sasa hapa Dar polisi ni wengi wanalinda Zebra crossing na kula Kwa urefu WA kamba!!Ndugu umekosea ungechukua namba ya huyo askari kichaa. Hata nyie abiria hamjitambuhi na hamna ushirikiano mgegoma kuondoka hapo.
Amina, siku njema mkuuBasi, nimempuuza! Mungu akubariki kwa ushauri wako! Uwe na wakati mwema
InasikitishaJamaa nimshangaa sana, Askari wa Msamvu nao wamemuweka ndani eti wanatii amri, pumbavu sana
Hewaa! Unapoposti sie tunakufuatilia, leo umenielewa shangaza kupanda basi kama sie wakati Mbeya ndege bwelele!Huenda una chuki binafsi na Mimi au una wivu usio na sababu au una stress TU, Mimi Nina makeke gani? Wapi niliwahi kusema napanda ndege? Kila siku nandika thread mabasi yaruhusiwe kusafiri usiku sisi wa Kasulu tusilale njiani, ni wapi niliwahi kuonyesha makeke?
Kwahio hukuona hata kama nilichoandika kina mantiki au lah ukaona unishambulie Mimi? Sijawahi hata kukutana na wewe, unawezaje kunihukumu kiasi hiki? Mimi ni mganga njaa tu na kama Kuna kidogo Niko nacho basi ni jasho langu kwa uwezo wa Mungu.
Kuna siku niliwahi kukutukana au kumdharau MTU kwa ulinganifu wa mali au vitu?? Aisee umenishangaza mno.
Kwahio wewe Kila siku una KAZI ya kufuatilia nimepost au nimekomenti nini? Duh π