Ni lini tutataka nchi zilizotutawala, dini zilizotudanganya, kutuibia na kutuharibu zitulipe fidia kwa uharibufu na hasara vilivyotusababishia?

Ni lini tutataka nchi zilizotutawala, dini zilizotudanganya, kutuibia na kutuharibu zitulipe fidia kwa uharibufu na hasara vilivyotusababishia?

Father of All

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2012
Posts
7,672
Reaction score
9,039
Kwa wataalamu wa historia, sayansi ya jamii, na uchumi, umaskini na kubakia nyuma kwa Afrika ni matokeo ya ukoloni uwe wa kisiasa au kiimani au kiutamaduni kama siyo kijamii.

Kupitia jinai hii, nchi za magharibi na za mashariki ya kati ziliingiza dini na kutuibia mali nyingi huku zikiharibu na kufuta mila zetu za maana. Kutokana na hali hii, Afrika ni kama mbuzi aliyefundishwa na fisi kula nyama na akaanza kuwatafuna watoto wake mwenyewe.

Rejea chuki za kidini, migogoro ya kisiasa baina ya nchi na nchi na uoza mwingine mwingi. Ni Waafrika tu wasiotumia majina yao au tuseme waliopoteza utambulisho wao. Akiitwa Mwafrika, kwa walio wengi mbali na wale walioshikilia mila zao, kabla ya kumuona, ima utajua ni mwarabu au mzungu, mkristo, au muislam.

Ajabu, zaidi ya ardhi, madini, utajiri, na vyakula vyetu, hawa waliotuhadaa kutuibia, wanachukia kila tulicho nacho kuanzia rangi yetu hadi mila zetu. Je ni lini tutawabana lau watufidie vinginevyo tuwapige marufuku kwenye bara letu? Je, kwa uzwazwa tulio nao, tutaweza?

NAOMBA KUWASILISHA WANANGU.
 
Uzi huu una mashiko, Afrika tumekuwa kama mti uliotenganishwa na shina lake, kama tungeachwa tukakua wenyewe na mila zetu na tamaduni zetu naamini sasa hivi tungekua tumeendelea sana. Mbinu iliyotumika imefanya waafrika wengi kutojikubali na kutojiamini. Kila jambo zuri linaonekana linafanywa na Mzungu. Tena hapa TZ Ili mtu aonekane wa viwango vya juu lazima aongee kiingereza au achanganye kiingereza na kiswahili. Hakika athari ya ukoloni ni kubwa! na naunga mkono kwamba tulitakiwa kulipwa kutokana na athari tulizosababishiwa
 
Kwa wataalamu wa historia, sayansi ya jamii, na uchumi, umaskini na kubakia nyuma kwa Afrika ni matokeo ya ukoloni uwe wa kisiasa au kiimani au kiutamaduni kama siyo kijamii.

Kupitia jinai hii, nchi za magharibi na za mashariki ya kati ziliingiza dini na kutuibia mali nyingi huku zikiharibu na kufuta mila zetu za maana. Kutokana na hali hii, Afrika ni kama mbuzi aliyefundishwa na fisi kula nyama na akaanza kuwatafuna watoto wake mwenyewe.

Rejea chuki za kidini, migogoro ya kisiasa baina ya nchi na nchi na uoza mwingine mwingi. Ni Waafrika tu wasiotumia majina yao au tuseme waliopoteza utambulisho wao. Akiitwa Mwafrika, kwa walio wengi mbali na wale walioshikilia mila zao, kabla ya kumuona, ima utajua ni mwarabu au mzungu, mkristo, au muislam.

Ajabu, zaidi ya ardhi, madini, utajiri, na vyakula vyetu, hawa waliotuhadaa kutuibia, wanachukia kila tulicho nacho kuanzia rangi yetu hadi mila zetu. Je ni lini tutawabana lau watufidie vinginevyo tuwapige marufuku kwenye bara letu? Je, kwa uzwazwa tulio nao, tutaweza?

NAOMBA KUWASILISHA WANANGU.
Na zenyewe zilitawaliwa kwani nazo zilishaomba fidia kwa waliowatawala?
 
Kwa wataalamu wa historia, sayansi ya jamii, na uchumi, umaskini na kubakia nyuma kwa Afrika ni matokeo ya ukoloni uwe wa kisiasa au kiimani au kiutamaduni kama siyo kijamii.

Kupitia jinai hii, nchi za magharibi na za mashariki ya kati ziliingiza dini na kutuibia mali nyingi huku zikiharibu na kufuta mila zetu za maana. Kutokana na hali hii, Afrika ni kama mbuzi aliyefundishwa na fisi kula nyama na akaanza kuwatafuna watoto wake mwenyewe.

Rejea chuki za kidini, migogoro ya kisiasa baina ya nchi na nchi na uoza mwingine mwingi. Ni Waafrika tu wasiotumia majina yao au tuseme waliopoteza utambulisho wao. Akiitwa Mwafrika, kwa walio wengi mbali na wale walioshikilia mila zao, kabla ya kumuona, ima utajua ni mwarabu au mzungu, mkristo, au muislam.

Ajabu, zaidi ya ardhi, madini, utajiri, na vyakula vyetu, hawa waliotuhadaa kutuibia, wanachukia kila tulicho nacho kuanzia rangi yetu hadi mila zetu. Je ni lini tutawabana lau watufidie vinginevyo tuwapige marufuku kwenye bara letu? Je, kwa uzwazwa tulio nao, tutaweza?

NAOMBA KUWASILISHA WANANGU.
Mnafukuza watu wenu ngorongoro, mnawapa Waarabu, mna akili timamu nyie?
 
Fikiria kama sio Carl Peters tukaachwa tulivyo kuwa ingekuwaje elimu ,mavazi na makazi?
Hata mahindi, kahawa,pamba nk walileta toka bara la America.
Hata Waarabu na ufedhuli wa utumwa walikuwa wakwanza kutuvalisha nguo na biashara .
Naangalia picha za nyanya zake JKN naona walikuwa matiti nje.
Sishabikii ukoloni ila kuna mazuri kati ya mabaya yao mfano reli ya kati.
 
Fikiria kama sio Carl Peters tukaachwa tulivyo kuwa ingekuwaje elimu ,mavazi na makazi?
Hata mahindi, kahawa,pamba nk walileta toka bara la America.
Hata Waarabu na ufedhuli wa utumwa walikuwa wakwanza kutuvalisha nguo na biashara .
Naangalia picha za nyanya zake JKN naona walikuwa matiti nje.
Sishabikii ukoloni ila kuna mazuri kati ya mabaya yao mfano reli ya kati.
Hiyo reli ya kati unajua nani alijenga ww?😅

nyanya ako hana matiti? Kwenye picha za hawa wanawake wakizungu karibia wote wanafuatlia uvaaji wetu wa asili. Angalia kwa mufashion show😂 kwa mungozi wanaweka tan oil, waonekane weusi, banaongeza kwa mutako, banaongeza kwa mulips

aRabs, ka ww fikira zako zishatawaliwa sana

wona ginsi unavyotia huruma

yani umeleta hoja moja ovyo sana kuwahi kutokea JF. Kalee wajukuu bana😇😇😇🫠
======

Ukiawaona waholanzi na mavazi yao, ikukale mukichwa, waholanzi waliiga kutoka kwa Mucongo. Mwafrika.
 
Fikiria kama sio Carl Peters tukaachwa tulivyo kuwa ingekuwaje elimu ,mavazi na makazi?
Hata mahindi, kahawa,pamba nk walileta toka bara la America.
Hata Waarabu na ufedhuli wa utumwa walikuwa wakwanza kutuvalisha nguo na biashara .
Naangalia picha za nyanya zake JKN naona walikuwa matiti nje.
Sishabikii ukoloni ila kuna mazuri kati ya mabaya yao mfano reli ya kati.
Hujui uongeacho. Mbona waganda na kanda ya ziwa walishatengeneza nguo za magome ya miti kabla ya wazungu kujua kuna nguo mwanangu. Au hukusoma uzuri au kupata elimu stahiki.
 
Fidia gani wakati ziliwatawala waliozitawala, kuzigawanya, na kuzinyonya?
Mfaransa aliwahi kuwa koloni la Uingereza, uingereza naye alishawahi kuwa koloni la Roman empire, Belgium alishawahi kuwa colony la spain nk je wao waliwahi kupata fidia?
 
Mfaransa aliwahi kuwa koloni la Uingereza, uingereza naye alishawahi kuwa koloni la Roman empire, Belgium alishawahi kuwa colony la spain nk je wao waliwahi kupata fidia?
Walilipana kwa kukubaliana kuja kutuvamia sisi na kulipana hivyo
 
Acha ujinga wewe , unge baki kwenye makabila yenu hata Dar usingefika ..Huu upuuzi usingeandika
 
Basi na sisi tunalipana kwa kuwa congo kila nchi ipo congo ya ziwa makuu
Kumbuka sisi si wao wala wao si sisi na wakati siyo ule wala muda wa kutawala si sawa na tuliotaliwa wala mbinu na kiwango cha mali kilichoibiwa. Hawa waliotawala walikuwa wakinyang'anyana hegemony lakini siyo resources.
 
Kwa wataalamu wa historia, sayansi ya jamii, na uchumi, umaskini na kubakia nyuma kwa Afrika ni matokeo ya ukoloni uwe wa kisiasa au kiimani au kiutamaduni kama siyo kijamii.

Kupitia jinai hii, nchi za magharibi na za mashariki ya kati ziliingiza dini na kutuibia mali nyingi huku zikiharibu na kufuta mila zetu za maana. Kutokana na hali hii, Afrika ni kama mbuzi aliyefundishwa na fisi kula nyama na akaanza kuwatafuna watoto wake mwenyewe.

Rejea chuki za kidini, migogoro ya kisiasa baina ya nchi na nchi na uoza mwingine mwingi. Ni Waafrika tu wasiotumia majina yao au tuseme waliopoteza utambulisho wao. Akiitwa Mwafrika, kwa walio wengi mbali na wale walioshikilia mila zao, kabla ya kumuona, ima utajua ni mwarabu au mzungu, mkristo, au muislam.

Ajabu, zaidi ya ardhi, madini, utajiri, na vyakula vyetu, hawa waliotuhadaa kutuibia, wanachukia kila tulicho nacho kuanzia rangi yetu hadi mila zetu. Je ni lini tutawabana lau watufidie vinginevyo tuwapige marufuku kwenye bara letu? Je, kwa uzwazwa tulio nao, tutaweza?

NAOMBA KUWASILISHA WANANGU.
Hujalazimishwa kufata Dini Kila mtu anaishi apendavyo, chuki ziko nyingi pambana na Hali Yako, na wenye chuki za Mali nao Wadai fidia wapi?
 
Hujalazimishwa kufata Dini Kila mtu anaishi apendavyo, chuki ziko nyingi pambana na Hali Yako, na wenye chuki za Mali nao Wadai fidia wapi?
Jaboja, umekunywa ngapi leo mwanangu au umevuta bangi. Sasa ndiyo nini umesema na unajibu nini na nani? Tafadhali acha bangi.
 
Kumbuka sisi si wao wala wao si sisi na wakati siyo ule wala muda wa kutawala si sawa na tuliotaliwa wala mbinu na kiwango cha mali kilichoibiwa. Hawa waliotawala walikuwa wakinyang'anyana hegemony lakini siyo resources.
Unda kikosi nenda congo, chukua kipande cha ardhi vuna mali, uza au kuwa wakala wa mabepari mnashea kula mema ya congo, achana na hegemony
 
Back
Top Bottom