The redemeer
JF-Expert Member
- Jan 28, 2025
- 1,497
- 2,681
Waafrika waliuana sana kabla ya dini soma historia.Chuki iko katika vyote. Dini zimetujaza tamaa na kuchukiana kiasi cha kuuana. Mbona hapo zamani hamkuwaua? Acheni kuua wenzenu kama unavyokiri.
Rise and fall of kingdoms.
Kwani wangoni kilichowatoa south Africa ni nini kama sio vita.
We uoni hata sasa tunauwana hovyo waafrika kwa waafrika kisa chuki check Congo, sudani,nk