Ni lini tutataka nchi zilizotutawala, dini zilizotudanganya, kutuibia na kutuharibu zitulipe fidia kwa uharibufu na hasara vilivyotusababishia?

Ni lini tutataka nchi zilizotutawala, dini zilizotudanganya, kutuibia na kutuharibu zitulipe fidia kwa uharibufu na hasara vilivyotusababishia?

Chuki ipo katika watu na sio dini.
Mbona sisi tunaua vikongwe,malbino nk hapa dini gani ya kigeni imehusika.
Pili dini ya mwafrika ni ipi?
Mwelekeze labda ataelewa,eti dini za kigeni mbona teknolojia ni za kigeni hamziachi? Au teknolojia ni ya Babu zakoi? Akili finyu kabisa, huko congo Nako ni dini? Urusi ni dini, na tekateka ni dini? Babu umeishia darasa la ngapi? Jiendeleze.
 
Chuki ipo katika watu na sio dini.
Mbona sisi tunaua vikongwe,malbino nk hapa dini gani ya kigeni imehusika.
Pili dini ya mwafrika ni ipi?
Chuki iko katika vyote. Dini zimetujaza tamaa na kuchukiana kiasi cha kuuana. Mbona hapo zamani hamkuwaua? Acheni kuua wenzenu kama unavyokiri.
 
Utakuwa wewe uliniuzia Hy bangi acha kuuza bangi
Si lazima kuuziwa. Unaweza kulima hata kupewa na wavuta bangi wenzako kama siyo mamlaka zilizowageuza machawa nanyi mkakubali udhalilishaji huu wa mchana kweupe mwanangu.
 
Chuki iko katika vyote. Dini zimetujaza tamaa na kuchukiana kiasi cha kuuana. Mbona hapo zamani hamkuwaua? Acheni kuua wenzenu kama unavyokiri.

Si lazima kuuziwa. Unaweza kulima hata kupewa na wavuta bangi wenzako kama siyo mamlaka zilizowageuza machawa nanyi mkakubali udhalilishaji huu wa mchana kweupe mwanawe acha

So sad, too bad. Hujui kuwa hujui wala kuelewa kilichoandikwa.
Hayawani kabisa
 
Bora wazungu walituachia akili zetu kidogo, waarabu wakichukua wamechukua hazirudi hizo mpaka unakufa na utazirithisha.

Na wakengeukji wengi ni wale wafata mila za kizungu, za kiarabu si rahisi kukengeuka labda ndizo sahihi(sijui)
 
Huwa nakaribia kutapika kusikia wabaguzi wakisema waafrika wasidai fidia. Foolish.
Wewe ndiye foolish. Kama ungeamua kujielimisha kuhusu haya mambo ya fidia ungeligundua ya kwamba jamii nyingi sana Afrika ziliishaomba fidia na zikapewa lakini bado zipo palepale.

Halafu kingine, nani anaomba fidia kwa nani? Wahehe, Wazaramo, Wanyamwezi, Wayao kutaja wachache waliathirika na uvamizi wa Wajerumani. Leo wakidai fidia, wanadai kama "mataifa" au (Makabila) yao au kama Tanganyika au kama Tanzania? Na wakilipwa fidia leo, wanalipwa wao tu au kama Tanzania?
 
Wewe ndiye foolish. Kama ungeamua kujielimisha kuhusu haya mambo ya fidia ungeligundua ya kwamba jamii nyingi sana Afrika ziliishaomba fidia na zikapewa lakini bado zipo palepale.

Halafu kingine, nani anaomba fidia kwa nani? Wahehe, Wazaramo, Wanyamwezi, Wayao kutaja wachache waliathirika na uvamizi wa Wajerumani. Leo wakidai fidia, wanadai kama "mataifa" au (Makabila) yao au kama Tanganyika au kama Tanzania? Na wakilipwa fidia leo, wanalipwa wao tu au kama Tanzania?
Kwanza, wanadai fidia kama binadamu. Pili, waathirika. Na tatu, Watanzania. Hayo mambo ya kugawana vipi siyo issue hata kidogo. Tumalize kwanza kesi. Kugawana kutakuja baadae mwanangu.
 
Kwanza, wanadai fidia kama binadamu. Pili, waathirika. Na tatu, Watanzania. Hayo mambo ya kugawana vipi siyo issue hata kidogo. Tumalize kwanza kesi. Kugawana kutakuja baadae mwanangu.
Ahahahahaha!
Usijali kucheka kwangu. Mara nyingi huwa nacheka kuhitimisha kwangu mijadala ya kijinga na ya kipumbavu!
 
Ahahahahaha!
Usijali kucheka kwangu. Mara nyingi huwa nacheka kuhitimisha kwangu mijadala ya kijinga na ya kipumbavu!
KKKK. Mie hucheka ninapogundua kuwa kumbe imeingia kiulani kama nilivyofanya kwako. Kkkkkk :ALIENALIENALIENALIENALIEN: :ALIENALIENALIENALIENALIEN: :ALIENALIENALIENALIENALIEN: :ALIENALIENALIENALIENALIEN: :ALIENALIENALIENALIENALIEN:
 
Kwa wataalamu wa historia, sayansi ya jamii, na uchumi, umaskini na kubakia nyuma kwa Afrika ni matokeo ya ukoloni uwe wa kisiasa au kiimani au kiutamaduni kama siyo kijamii.

Kupitia jinai hii, nchi za magharibi na za mashariki ya kati ziliingiza dini na kutuibia mali nyingi huku zikiharibu na kufuta mila zetu za maana. Kutokana na hali hii, Afrika ni kama mbuzi aliyefundishwa na fisi kula nyama na akaanza kuwatafuna watoto wake mwenyewe.

Rejea chuki za kidini, migogoro ya kisiasa baina ya nchi na nchi na uoza mwingine mwingi. Ni Waafrika tu wasiotumia majina yao au tuseme waliopoteza utambulisho wao. Akiitwa Mwafrika, kwa walio wengi mbali na wale walioshikilia mila zao, kabla ya kumuona, ima utajua ni mwarabu au mzungu, mkristo, au muislam.

Ajabu, zaidi ya ardhi, madini, utajiri, na vyakula vyetu, hawa waliotuhadaa kutuibia, wanachukia kila tulicho nacho kuanzia rangi yetu hadi mila zetu. Je ni lini tutawabana lau watufidie vinginevyo tuwapige marufuku kwenye bara letu? Je, kwa uzwazwa tulio nao, tutaweza?

NAOMBA KUWASILISHA WANANGU.
1.India ilikuwa koloni la Muingereza mpaka mwaka 1947
2. Indonesia ilikuwa koloni la wadachi mpaka mwaka 1945
3. China ilitalawaliwa baadhi ya sehemu na Uingereza.

Hizo ni baadhi ya nchi zilizopo ndani ya g20 ambazo zilitawaliwa kikoloni na muda wao wa kupata uhuru hauzidi miaka 20 hadi na sisi tulipopata uhuru.

Hakuna hata moja katika nchi hizo zilizodai fidia kutoka kwa waliowakoloni na ndio kwanza zimekuwa tishio kimaendeleo mpaka kwa hao waliowakoloni.

Husikii kutoka kwao ajenda za ukoloni na hili ndio tatizo kwetu sisi. Badala ya kuwaza namna gani tutakwenda mbele, tunaumiza vichwa kutumia akili zetu kurudi nyuma na kutoa lawama ambazo hazina faida.

Hata hiyo fidia tutayodai haitotufikisha popote endapo tutashindwa kuzitoa akili zetu katika selo ya ukoloni.
 
1.India ilikuwa koloni la Muingereza mpaka mwaka 1947
2. Indonesia ilikuwa koloni la wadachi mpaka mwaka 1945
3. China ilitalawaliwa baadhi ya sehemu na Uingereza.

Hizo ni baadhi ya nchi zilizopo ndani ya g20 ambazo zilitawaliwa kikoloni na muda wao wa kupata uhuru hauzidi miaka 20 hadi na sisi tulipopata uhuru.

Hakuna hata moja katika nchi hizo zilizodai fidia kutoka kwa waliowakoloni na ndio kwanza zimekuwa tishio kimaendeleo mpaka kwa hao waliowakoloni.

Husikii kutoka kwao ajenda za ukoloni na hili ndio tatizo kwetu sisi. Badala ya kuwaza namna gani tutakwenda mbele, tunaumiza vichwa kutumia akili zetu kurudi nyuma na kutoa lawama ambazo hazina faida.

Hata hiyo fidia tutayodai haitotufikisha popote endapo tutashindwa kuzitoa akili zetu katika selo ya ukoloni.
Kama hawakudai hiyo shauri yao. Kwani mwizi akikuibia ukaamua kudai ni kosa? Kama wao waliridhika sawa tu. Hatuwalazimishi. Hata hivyo, hao uliowataja hawakupelekwa utumwani zaidi ya kuletwa Afrika kutuibia wakisaidiana na hao waliowatawala na baadae kuja kututawala sisi.
 
Back
Top Bottom