Lutenant Denis Urio kwa Sasa anateseka na pande mbili, upande wa Kwanza ni upande watetezi wa Mbowe na washitakiwa wenzake.
Pia upande wa pili ambao unamtesa Leutenant Denis Urio ni upande wa wanaomshitaki Mbowe na wenzake.
Nitaanza na upande wa pili
Hawa iko hivi, kwa mtazamo wa nje Urio anaonekana Yuko salama,lakini kwa jicho la ndani Urio hayuko huru,na kukosa Uhuru ni mateso,kwani urio ni Kama msukule tu anafanyishwa kazi bila ridhaa yake.
Sasa narudi upande wa Kwanza ambao Mimi nashindwa kuelewa kwa Nini watu wanamlaumu Urio?
Urio alimtafutia walinzi Mbowe kwa sababu alikua anawahitaji,
Lakini pia Urio aliwatafutia kazi vijana wake aliowafundisha au marafiki zake waliokua wanapigika kimaisha na kazi za hovyo.
Nisipoelewa Mimi ni kwamba je urio alikwenda kushitaki kuwa Mbowe analindwa na makomado waliofukuzwa? Wakati ni yeye aliewatafuta?
Sasa kulikua Kuna sababu gani kuwatoa kwenye kazi zao na Kisha kuwashitaki?
Ama Kama hakua tayari kumtafutia Mbowe walinzi kwa Nini alikubali?
Kwa kifupi ninachoamini Mimi ni kwwmba, ni kweli Urio alikua Ana Nia njema na huruma kwa Mbowe kutokana na madhira anayopitia.
Pia alikua Ana Nia njema na upendo wa kweli wa kuwatafutia kazi marafiki zake, vijana wake na wanafunzi wake kazi nzuri yenye hadhi inayoendana na taaluma yao, kwa sababu ndani ya Mambo ya ukomando pia Kuna taaluma ya ulinzi wa watu muhimu au maalumu.
Sasa nahisi pengine upande wa pili walipogundua kuwa Mbowe kapata wataalamu wenye uzoefu wa masuala ya ulinzi nadhani hawakupenda,ndipo wakatafuta Nani kawaunganisha,ndipo wakagundua kuwa ni urio.
Sasa kwa vile wananguvu ikabidi Urio alazimishwe kuwa upande wao bila kutaka.
Huwezi kushindana na mwenye nguvu.
Kwa Sasa Urio Yuko mtu Kati, namuonea huruma Sana, kesi ikiisha sijui ataishi vipi.
Bado naamini Urio hakua mtu mbaya kwa Mbowe.
Narudia Tena huenda Kuna kipengele nilipitwa,lakini sioni Kama Urio alikua na Nia mbaya na akina Adamoo.
Pia upande wa pili ambao unamtesa Leutenant Denis Urio ni upande wa wanaomshitaki Mbowe na wenzake.
Nitaanza na upande wa pili
Hawa iko hivi, kwa mtazamo wa nje Urio anaonekana Yuko salama,lakini kwa jicho la ndani Urio hayuko huru,na kukosa Uhuru ni mateso,kwani urio ni Kama msukule tu anafanyishwa kazi bila ridhaa yake.
Sasa narudi upande wa Kwanza ambao Mimi nashindwa kuelewa kwa Nini watu wanamlaumu Urio?
Urio alimtafutia walinzi Mbowe kwa sababu alikua anawahitaji,
Lakini pia Urio aliwatafutia kazi vijana wake aliowafundisha au marafiki zake waliokua wanapigika kimaisha na kazi za hovyo.
Nisipoelewa Mimi ni kwamba je urio alikwenda kushitaki kuwa Mbowe analindwa na makomado waliofukuzwa? Wakati ni yeye aliewatafuta?
Sasa kulikua Kuna sababu gani kuwatoa kwenye kazi zao na Kisha kuwashitaki?
Ama Kama hakua tayari kumtafutia Mbowe walinzi kwa Nini alikubali?
Kwa kifupi ninachoamini Mimi ni kwwmba, ni kweli Urio alikua Ana Nia njema na huruma kwa Mbowe kutokana na madhira anayopitia.
Pia alikua Ana Nia njema na upendo wa kweli wa kuwatafutia kazi marafiki zake, vijana wake na wanafunzi wake kazi nzuri yenye hadhi inayoendana na taaluma yao, kwa sababu ndani ya Mambo ya ukomando pia Kuna taaluma ya ulinzi wa watu muhimu au maalumu.
Sasa nahisi pengine upande wa pili walipogundua kuwa Mbowe kapata wataalamu wenye uzoefu wa masuala ya ulinzi nadhani hawakupenda,ndipo wakatafuta Nani kawaunganisha,ndipo wakagundua kuwa ni urio.
Sasa kwa vile wananguvu ikabidi Urio alazimishwe kuwa upande wao bila kutaka.
Huwezi kushindana na mwenye nguvu.
Kwa Sasa Urio Yuko mtu Kati, namuonea huruma Sana, kesi ikiisha sijui ataishi vipi.
Bado naamini Urio hakua mtu mbaya kwa Mbowe.
Narudia Tena huenda Kuna kipengele nilipitwa,lakini sioni Kama Urio alikua na Nia mbaya na akina Adamoo.