Mkuu hiyo ni aina ya weed kwa jina la kitaalam inaitwa 'black jack' na kwa kimeru 'wondering jew'.Nipo nafanya kazi kwenye ofisi fulani ivi za serikali mkoa kilimanjaro. Ninapo kaa hapa unaweza kuona kwa uzuri kabisa maua yaliopo nje, katika kopo moja wapo kuna ua la kawaida na jani leota pembeni yake. Kama nilivoweka picha hapo chini
Sasa tunabisha wengine wanasema ni weed na wengibe wanasema ni jani tu la kawaida
Mwenye uelewa zaidi kwenye vitu kama hivi
View attachment 1941871
View attachment 1941872
Boss, achana na utaalamu, ye anataka kujua, ni bangi au sio bangi? Jibu ni lipi kutokana na utaalamu wako?Mkuu iyo ni aina ya weed kwa jina la kitaalam 'black jack' na kwa kimeru 'wondering jew'.
Labia majoraBoss, achana na utaalamu, ye anataka kujua, ni bangi au sio bangi? Jibu ni lipi kutokana na utaalamu wako?
Sikasha jibuBoss, achana na utaalamu, ye anataka kujua, ni bangi au sio bangi? Jibu ni lipi kutokana na utaalamu wako?
Hii ni indica, ina matawi mapana-mafupi.Mkuu iyo ni aina ya weed kwa jina la kitaalam inaitwa 'black jack' na kwa kimeru 'wondering jew'.
Labia majora
MchambuajiHii ni indica, ina matawi mapana-mafupi.
when you smoke it u get high on both brain and body compared to sativa which u get high only on brain.
I prefer sativa( kuifahamu sativa majani yake ni membamba-marefu)
Umekosea. Hawasemi Hee tobaaaaa! Hapana, ni: Hee toooooobaa!Heee.. Tobaaa
Kumbe bangi ndo ipo hivoooo? Asa kwanini mmepanda ofisini jamani si kosa kisheria?
Ila hilo uwa la bangi mbona zuri mi nikajua bangi wanavoisema ni hatari Basi limti lake nilitegemea limetishaaa tishaaa hiviii
Mkuu ng'oa fasta itakuwa kesi hiyo Tafadhali usivunje sheria bwana we ing'oe tu utaenda jela bure shauri yako.
Hilo ni jani la weed.. Ama wenyewe wanaita ni mjani wa weed au mchicha poriNipo nafanya kazi kwenye ofisi fulani ivi za serikali mkoa kilimanjaro. Ninapo kaa hapa unaweza kuona kwa uzuri kabisa maua yaliopo nje, katika kopo moja wapo kuna ua la kawaida na jani lemeota pembeni yake. Kama nilivoweka picha hapo chini
Sasa tunabisha wengine wanasema ni weed na wengibe wanasema ni jani tu la kawaida
Mwenye uelewa zaidi kwenye vitu kama hivi
View attachment 1941871
View attachment 1941872