Ni macho yangu au nimekosea! Msaada nifaamishwe hiki ni kitu gani!

Mtumishi wa kweli hawezi kuishabikia CCM.Labda kinafiki ili aishi na Misisiem kwa uzuri.
 
Mkuu iyo ni aina ya weed kwa jina la kitaalam inaitwa 'black jack' na kwa kimeru 'wondering jew'.
kwanza kabisa wondering jew na black jack(bidens pilosa) ni vitu viwili tofauti, pili hiyo ni bangi aka canabis sativa ila kwa mbaali inafanana na bidens pilosa...since hapa kuna picha ya canabis ngoja niweke ya bidens pilosa uone tofauti....

 
We fanya hv!!CHUMA MAJANI YOTE ACHA STEM AU MTI WAKE!HALAFU KATA KATA MAJANI YAKE VIPANDE VIDOGO VIDOGO HALAFU PIKA UGALI WAKO!!KAANGA MAJANI HAYO KWA MAFUTA KAMA SANSA UNAWEZA CHANGANYA NA YAI KAANGA PAMOJA WEKA NA CHUMVI ULE KABISA USHIBE!LALA USINGIZI MNONO UJE UNISHUKURU BADAE!!!!
 
Vuteni muhakikishe msituletee mipicha humu
 
Namwambia mkuu wangu kuna bangi imeota hapa, anasema hana uhakikaki tuache hadi ikomae ndo tu-proof kama kweli ni yenyewe au laa 😂😂😂
 
Kwa uelewa wangu haya majani yananukia ni kwa ajili ya kuweka ktk chai.😁
 
Namwambia mkuu wangu kuna bangi imeota hapa, anasema hana uhakikaki tuache hadi ikomae ndo tu-proof kama kweli ni yenyewe au laa 😂😂😂
Umekosea mkuu wewe ungeyang'oa tu kimyakimya kaka, kuyaacha ni chanzo cha matatizo watakuja polisi mfungwe iwe msala na mzigo kwa familia mtakazo ziacha uraiani.

Mimi nashauri ung'oe tu mapema kaka think about your tomorrow
 
Umekosea mkuu wewe ungeyang'oa tu kimyakimya kaka, kuyaacha ni chanzo cha matatizo watakuja polisi mfungwe iwe msala na mzigo kwa familia mtakazo ziacha uraiani.

Mimi nashauri ung'oe tu mapema kaka think about your tomorrow
Imeota kwenye maua ya ofisi sasa hapo nitakamatwa vipi mimi😎🤤🤤
 
NGOA ALAFU KAUSHA THEN VUTA.

HABARI ITAKUWA IMEISHA APO.

ILA SIKU NYINGINE UKIPANDA PANDIA CHUBZ
 
Number moja wa KE aitwe anaweza kukupa majibu kaka.
 
Legacy
 
Kuna waziri kateuliwa juzi baba yake aliwahi kuwa mtu mkubwa sana CCM na mkoa fulani hapa Tanzania ambapo ukiwa mkuu wa mkoa huo unajikuta kwamba wewe ni gavana wa CALIFORNIA..Huyo waziri anakula ganja mpaka kesho nilipiga nae school moja Morogoro baba yake alikuwa akisikia mwanae kafanya msala anakuja kumuweka bakora hadharani kipigo haswaaa,Lakini mtoto mpaka kaingia kwenye siasa,kawa mbunge,waziri lakini ganja hadi kesho anapiga hajawahi kuacha tangu tujuane from school mpaka leo hii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…