Nkundwe Sr
JF-Expert Member
- Nov 30, 2014
- 6,289
- 9,748
Mkuu hii haiwork nimeijaribisha huyu dogo sijui kaozaHakuna feni?fungus dirisha
Wauze kwani Bandari ya mshua wangu??? Wauze hainiusuBandari iuzwe haraka sana kwa hali hii.
Siku hizi hata kujamba kunajadiliwa...Huyu dogo bonge ni roommate wangu chuo kimoja hapa Tanganyika mshikaji anajamba usiku kucha alafu lenyewe wala ata alijui linajamba usingizini sina raha ata ya kuishi nae kanikela vibaya sijui nawaza nimchane hii tabia yake inanikela kishenzi
Wauze hiyo Mimi inanihusu nn? Kila mtu na matitizo yakeSiku hizi hata kujamba kunajadiliwa...
Afu watu wanashangaa Bandari kuuziwa mwarabu...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Bandari iuzwe haraka sana kwa hali hii.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Siku hizi hata kujamba kunajadiliwa...
Afu watu wanashangaa Bandari kuuziwa mwarabu...
Mwanangu ndo ujambe free quently?? Huyo dgo mgonjwaKujamba usingizini ni dalili za afya na uhai.
Kamua dogo kamua
🤣🤣🤣🤭Bandari iuzwe haraka sana kwa hali hii.
Huyu dogo bonge ni roommate wangu chuo kimoja hapa Tanganyika mshikaji anajamba usiku kucha alafu lenyewe wala ata alijui linajamba usingizini sina raha ata ya kuishi nae kanikela vibaya sijui nawaza nimchane hii tabia yake inanikela kishenzi
Kwahiyo wewe tatizo lako ni kujamba , kujambiwa au kijambio?Wauze hiyo Mimi inanihusu nn? Kila mtu na matitizo yake
Bandari iuzwe haraka sana kwa hali hii.
Yaani Asprin asijitokeze kwenye mada kama hizi ningeshangaa sana, ningesikitishwa sana, ningefika mahala ningeona tatizo ni huu uwaziri mkuu.Kwahiyo wewe tatizo lako ni kujamba , kujambiwa au kijambio?
Hahaha .... we mtu hebu kalale umeshalewa...Yaani Asprin asijitokeze kwenye mada kama hizi ningeshangaa sana, ningesikitishwa sana, ningefika mahala nungeona tatizo ni huu uwaziri mkuu.
Bado namsubiri Bujibuji Simba Nyamaume
Yaani Asprin asijitokeze kwenye mada kama hizi ningeshangaa sana, ningesikitishwa sana, ningefika mahala ningeona tatizo ni huu uwaziri mkuu.
Bado namsubiri Bujibuji Simba Nyamaume
Hahaha .... we mtu hebu kalale umeshalewa...
Hapa tuko kwenye mjadala wa kitaifa. Inawezekana mwarabu anataka kuuziwa na vijambio vyetu...