Ni madhara gani unapata mtu unapojambiwa?

Ni madhara gani unapata mtu unapojambiwa?

Nkundwe Sr

JF-Expert Member
Joined
Nov 30, 2014
Posts
6,289
Reaction score
9,748
Huyu dogo bonge ni roommate wangu chuo kimoja hapa Tanganyika.

Mshikaji anajamba usiku kucha halafu mwenyewe wala hata ajui anajamba usingizini sina raha hata ya kuishi nae.

Kanikela vibaya sijui nawaza nimchane hii tabia yake inanikera kishenzi.
 
Huyu dogo bonge ni roommate wangu chuo kimoja hapa Tanganyika mshikaji anajamba usiku kucha alafu lenyewe wala ata alijui linajamba usingizini sina raha ata ya kuishi nae kanikela vibaya sijui nawaza nimchane hii tabia yake inanikela kishenzi
Siku hizi hata kujamba kunajadiliwa...

Afu watu wanashangaa Bandari kuuziwa mwarabu...
 
Huyu dogo bonge ni roommate wangu chuo kimoja hapa Tanganyika mshikaji anajamba usiku kucha alafu lenyewe wala ata alijui linajamba usingizini sina raha ata ya kuishi nae kanikela vibaya sijui nawaza nimchane hii tabia yake inanikela kishenzi


Awe anakunywa chai ya Tangawizi au atafune, kujamba sana maana yake anayo matatizo ya digestion.
 
Yaani Asprin asijitokeze kwenye mada kama hizi ningeshangaa sana, ningesikitishwa sana, ningefika mahala nungeona tatizo ni huu uwaziri mkuu.
Bado namsubiri Bujibuji Simba Nyamaume
Hahaha .... we mtu hebu kalale umeshalewa...

Hapa tuko kwenye mjadala wa kitaifa. Inawezekana mwarabu anataka kuuziwa na vijambio vyetu...
 
Unaniita nije kufanya nini? Nije kujamba, kujambiwa au kuimba afyulile nani? Afyulile nani? Kafi ka Mponda katile fyuuuuuuuu ! PakiJinja
Yaani Asprin asijitokeze kwenye mada kama hizi ningeshangaa sana, ningesikitishwa sana, ningefika mahala ningeona tatizo ni huu uwaziri mkuu.
Bado namsubiri Bujibuji Simba Nyamaume

Hahaha .... we mtu hebu kalale umeshalewa...

Hapa tuko kwenye mjadala wa kitaifa. Inawezekana mwarabu anataka kuuziwa na vijambio vyetu...
 
Back
Top Bottom