Ni madhara gani unapata mtu unapojambiwa?

Ni madhara gani unapata mtu unapojambiwa?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uduguuuu yaan achaa, uswazii ni full burudaniiiiiii.
Uduguu Uswazi kuna watoto bhana tena wala hawazingui ukiwa mgeni ushindwe wewe [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent from my Nokia C2 using JamiiForums mobile app
 
Mie tattoo zao piko tu nafwaa kwa kucheka [emoji1787][emoji1787]
Mwenyewee mbna nilishawahii choraaa, bleach nishawahi wekaa.
Naanzajee kupitwaa sasa?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Vijora viko ndanii kibao, siku za weekend najifungia ndanii nasasambuaa wee hadi hoii.uwiiiiiih
 
Siku twende tukawaonyeshee vagi letu uduguu na vijora vyetu ndani chukuchuku [emoji2222][emoji2222]
Twendeeee uduguuuu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wala sio shida zetu
 
Uduguu Uswazi kuna watoto bhana tena wala hawazingui ukiwa mgeni ushindwe wewe [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent from my Nokia C2 using JamiiForums mobile app
Chips yai kwa mirindaa, unakulaa nyapuu hadi harufu ya mshikakii itokee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Ukimnunulia kijora na kimkoba cha Gucci, na sandols za manyoya za Dior, hapo umeoa kabisaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mwenyewee mbna nilishawahii choraaa, bleach nishawahi wekaa.
Naanzajee kupitwaa sasa?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Vijora viko ndanii kibao, siku za weekend najifungia ndanii nasasambuaa wee hadi hoii.uwiiiiiih

Uduguu nipasie kimoja pambe tukawashe moto [emoji2222][emoji2222]
 
Twendeeee uduguuuu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wala sio shida zetu

Mbona pambeee tukamwage nyonga, make sure vijora hivyo viwe off shoulder uduguu uvipeleke kwa fundi mapema wakaviedit [emoji2222][emoji2222]
 
Chips yai kwa mirindaa, unakulaa nyapuu hadi harufu ya mshikakii itokee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Ukimnunulia kijora na kimkoba cha Gucci, na sandols za manyoya za Dior, hapo umeoa kabisaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Na wale wanayaweza mambo ya kwa bed wewe siku nenda wanakofunda mwali utaona vitu mimi nishachukua notes za kutosha [emoji2222][emoji2222] kwa zile style unabebewa bwana mchana kweupe
 
Haloo! [emoji28][emoji28] mimi ni mwiko kulala na mtu mnene chumba kimoja.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] bonge alafu linakitambi tumbo linanguruma kama panya wanacheza

Sent from my Nokia C2 using JamiiForums mobile app
 
Chips yai kwa mirindaa, unakulaa nyapuu hadi harufu ya mshikakii itokee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Ukimnunulia kijora na kimkoba cha Gucci, na sandols za manyoya za Dior, hapo umeoa kabisaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Uduguu niliopoa mfyele mpaka maziwa yalitoka nikanyonya kama wanaume wa Tarime [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent from my Nokia C2 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom