Ni maeneo gani mazuri ya kutembelea nikiwa Moshi au Arusha?

Nenda Kibosho Kirima ushukie KNCU utakutana na bar zenye nyama choma ya mbuzi. kitimoto cha ku-roast. Mbege nzuri hatari. banana . vimwana. usafiri wa taxi na boda boda vinapatikana!
 
Nenda Kibosho Kirima ushukie KNCU utakutana na bar zenye nyama choma ya mbuzi. kitimoto cha ku-roast. Mbege nzuri hatari. banana . vimwana. usafiri wa taxi na boda boda vinapatikana!
Kuhusu mbege sawa Sawa kuna watu Dsm hadi wanajiita mama mbege au baba mbege, nitaenda nipate radha yake
 
Kama unataka kushangaa nakushauri uende Pasua mpaka mitaa ya Mabogini huko ukakutane na vumbi ambalo pengine hujawahi kukutana nalo maisha yako yote..
Linatimuka au lipo kama la jangwani
 
Makumba Bay+ Malindi[emoji108] [emoji108] [emoji108] [emoji344] [emoji344] [emoji344] [emoji344] [emoji328]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…