Ni maeneo gani safarini kutoka Dar- DodomaA au kwingineko maeneo gani njiani hayana network kabisa na huwezi kutumia simu yako

Ni maeneo gani safarini kutoka Dar- DodomaA au kwingineko maeneo gani njiani hayana network kabisa na huwezi kutumia simu yako

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
Yaani ukifika maeneo hayo network inakua hakuna kabisa. huwezi kutumia simu kuwasiliana, yaani huwezi kupiga simu wala kupokea, huwezi kutuma sms au kupokea sms.

Network inakua hakuna kwa ujumla, na zaidi sana hakuna kabisa Internet network..
Yapo maeneo humo humo njiani network iko full tena ni ya kasi ya ajabu. unaweza kupiga simu au kupokea sms kama kawaida, na zaidi sana unaweza kutumia internet network vizuri.
Umewahi kukutana na changamoto hii ukiwa safari kutumia barabara au reli ?
unadhani hali hii ya kimazingira, husababishwa na nini hasa kitaalamu? 🐒
 
Dar hapa kati kati ya Gongolamboto (nyama choma) na Pugu secondary.
 
Maeneo ya vijijini hasa mororgoro.ila ukifika maeneo ya mjini network inakaamata
 
Unauliza highway tena kweupe vipi Tanzania ndani muleee....ukiambiwa Nape kafeli na anaihujumu CCM unadindisha. 😡😡😡
 
Back
Top Bottom