October man
JF-Expert Member
- Nov 23, 2017
- 3,635
- 5,012
umeharibu hapa3) Harrier New Model
Mkuu naomba harrier new model uitoe kwenye hiyo ligi
Mzee umetaja gari 600 haha.Mzee naona test yako nzuri.
Mimi
SUV - BMW X5 or X3 or X6, Range au Discovery mpya mpya, GMC ya ki FBI, Chevrolet la kibabe
Sedan - BMW 3 series, Tesla, Benz C Class, Audi A4,
Truck - Ford Ranger, hapa kazi kazi
Sport Car - hapa mzigo wowote kutoka Italy.
Sijui kama umenielewaHapo sio suala la ligi iyo ni yakuyembelea endapo kubwa zipo kwenye service au matengenezo wanasema Toyota service rahisi.
Haya ma GMC ya ki FBI siku nikonusa mkwanja mwingi la zima niichukue .Mzee naona test yako nzuri.
Mimi
SUV - BMW X5 or X3 or X6, Range au Discovery mpya mpya, GMC ya ki FBI, Chevrolet la kibabe
Sedan - BMW 3 series, Tesla, Benz C Class, Audi A4,
Truck - Ford Ranger, hapa kazi kazi
Sport Car - hapa mzigo wowote kutoka Italy.
Naunga mkojo hona
[emoji16][emoji16][emoji16]hakikaNaunga mkojo hona
Najua ni je ya mada lakini umecheki avatar yangu?
Haya ma GMC ya ki FBI siku nikonusa mkwanja mwingi la zima niichukue .