Ni Makosa kufikiri Musonda ni sawa na Phiri!

Ni Makosa kufikiri Musonda ni sawa na Phiri!

Wakuu,

Yanga leo wametambulisha top striker kutoka Zambia Kennedy Musonda ambaye pia ndio kinara wa magoli ligi ya Zambia...
Ndo mtulie sasa kwani mnawashwa kitu gani aisee, kama ni mbovu si mfurahi amesajiliwa mbovu ili mpate unafuu povu la nini?

Mlipokuwa mnamtaka mkazidiwa kete amkujua kama ni mbovu, Ngada fc mna katabia ka kijinga ka kuwa na wivu wa kike ata kama ni mwanaume ovyo kabisa nyie
 
Mliongea Mengi sana wakati Aziz K anatua jangwani.Amepelekea muwa na mgogoro usioisha na magoli kipa wote wa NBC PREMIER LEAGUE. Muda ni mwalimu mzuri.
Kama diala alivyopigwa ule mtobo
 
Wakuu,

Yanga leo wametambulisha top striker kutoka Zambia Kennedy Musonda ambaye pia ndio kinara wa magoli ligi ya Zambia.

Wapinzani wetu wamesajili mshambuliaji hatari na mbadala wa Fiston Mayele lakini ni vizuri tuwakumbushe kuwa huyu Musonda ni msimu huu ndio aliofanya vizuri na hatuwezi hata kujaribu kumfananisha na Moses Phiri ambaye amekuwa mmoja wa vinara wa magoli wa ligi ya Zambia mara kadhaa.

Sasa mashabiki wa Kibongo msishangae aka floppy huyo Musonda msiamini kama mlivyofikiri kwa Kambole. Pia msipende kufananisha wachezaji kienyeji, Moses Phiri si level ya Musonda hata kidogo. Phiri ni mchezaji hatari kwasasa kwenye ligi yetu na ame prove hilo tayari.

Musonda hana rekodi zaidi ya kuongoza kufunga kwenye ligi ambayo bado mbichi na tena msimu huu ndio kafanya vizuri, hana rekodi zaidi ya hii.

Uto tulieni acheni kelele nyingi na vi clip viwili tu vya Musonda visivyo na tija [emoji1787]

#nguvumoja

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Tuliza presha wewe. Mchezaji hajacheza hata mechi moja kwenye ligi yetu, tayari hofu imekujaa!
 
Shida ni kuwa mnaanzishaga hizi nyuzi Kisha mnazikimbia baadae.

Ni mapema Sana ku conclude ulivyo conclude blaza. Ingelikuwa heri ungeliweka akiba ya maneno.

Yule blaza ako alifunguaga uzi wa kumponda Mayele Vs Kibu saa hizi hata haelewi sijui aufute sijui aseme account yake ilidukuliwa hakuwa yeye

Kuna namna nyingi Sana za kujipa moyo na kujiondolea machungu, Hakuna ulazima kujipa moyo kwa kuwaponda Yanga.
Kwa kambole tule maneno yetu?
 
Sisemi neno nachojua n suala la muda mleta mada atajionea mwenyewe

Kibu denga mchezaj Bora wa mwez mechi za mazoezini amepata zawadi
Amewashinda bocco na saidoo
 
Mleta Mada nyie mbumbumbu mna sahau mapema sana mlishawahi kumfananisha Kibu na Mayele, mlishawahi ku mmbeza Aziz K na Sasa mmeanza Kwa Musonda.

Muda ndio utakao wajibu sisi wengine tunasubiri Kwa hamu kujionea uwa hamchelewi kupotena na kuleta habari za Bahasha.
 
Wakuu,

Yanga leo wametambulisha top striker kutoka Zambia Kennedy Musonda ambaye pia ndio kinara wa magoli ligi ya Zambia.

Wapinzani wetu wamesajili mshambuliaji hatari na mbadala wa Fiston Mayele lakini ni vizuri tuwakumbushe kuwa huyu Musonda ni msimu huu ndio aliofanya vizuri na hatuwezi hata kujaribu kumfananisha na Moses Phiri ambaye amekuwa mmoja wa vinara wa magoli wa ligi ya Zambia mara kadhaa.

Sasa mashabiki wa Kibongo msishangae aka floppy huyo Musonda msiamini kama mlivyofikiri kwa Kambole. Pia msipende kufananisha wachezaji kienyeji, Moses Phiri si level ya Musonda hata kidogo. Phiri ni mchezaji hatari kwasasa kwenye ligi yetu na ame prove hilo tayari.

Musonda hana rekodi zaidi ya kuongoza kufunga kwenye ligi ambayo bado mbichi na tena msimu huu ndio kafanya vizuri, hana rekodi zaidi ya hii.

Uto tulieni acheni kelele nyingi na vi clip viwili tu vya Musonda visivyo na tija [emoji1787]

#nguvumoja

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Nani kawafananisha? Au unapenda tuwafananishe

Sent from my SM-A307FN using JamiiForums mobile app
 
Mleta Mada nyie mbumbumbu mna sahau mapema sana mlishawahi kumfananisha Kibu na Mayele, mlishawahi ku mmbeza Aziz K na Sasa mmeanza Kwa Musonda.

Muda ndio utakao wajibu sisi wengine tunasubiri Kwa hamu kujionea uwa hamchelewi kupotena na kuleta habari za Bahasha.
Bila kusahau Chama na Fey ikashindikana mara Chama na Aziz hadi sasa naona kama uwanja umeinama vile...
 
Back
Top Bottom