Dokta Uchwara
JF-Expert Member
- Apr 29, 2022
- 1,370
- 3,152
Kufa kwa CDM ni matamanio ya kila mwanaccm.
Dhalimu hayupo, una wasiwasi gani?
2025 Mbowe ataapishwa kuwa Rais wa Tanzania baada ya kushinda uchaguzi. [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Atakuteua uwe waziri wa elimu japo najua una mavyeti feki.
Kwa mtu kama wewe kucheka si hoja, kwa sababu sioni mchango wowote wa maana uliouweka hapo kuonyesha utofauti wa hoja zako na zangu.Nimecheka kijinga Sana, Kwamba kuoji sio kupenda nchi? Na ndo umejipanga hivi kuja pangua hoja za mtoa mada, nimecheka Kama mazuri,
Kheee! Kwani dhalimu si ameshakufa yuko motoni anateketea?Nani atakuwa na muda wa kushiriki uchaguzi wa kihanithi? Kama tume ya uchaguzi na katiba ni hii hii, usitegemee wanaume tunaojitambua kushiriki huo ukhanithi. Labda yatokee machafuko lakini sio kwenda kupanga mstari boss.
Kama umetumwa mwambie alie kutuma hawezi shindana na Mungu. Lazima iwe tu... Yani binafsi nataka kuona kati ya Mungu na wanadam nani mwenye nguvu. EndHuyu mtu simply ni Mhalifu, japo anajificha kwenye kijisauti chake kile tunamwona kama Mcha Mungu vile.
Kwa miezi michache aliyokaa kama CG - TRA, Philip Mpango aliwatisha Wafanyabiashara na kuwafanya wengi wafunge biashara. Tabia hiyo aliendelea nayo akiwa Waziri wa Fedha.
Aliwatisha pia Wakuu wa Mashirika ya Umma na kuwaamuru kutoa Mabilioni ya Fedha kama Gawio Serikalini hata pale ilipokuwa ikijulikana Wazi mashirika mengi yalikuwa taabani kifedha - Jambo linalolalamikiwa na Rais Samia kwa Sasa.
Uharibifu wa Uchumi wote Uliofanyika Awamu ya 5, ulisimamiwa na Philip Mpango; Inakuwaje huyu mtu ndo anakuwa Makamu wa Rais?
Huyu pamoja na yule Mzee wa Benki Kuu, hawana hata chembe ya Uadilifu kuendelea kushikilia nyadhifa kubwa walizo nazo; kama tunaipenda nchi yetu hawa walipaswa kushitakiwa kwa Makosa anayoshitakiwa nayo SABAYA; SAD!
Mkuu unanionea bure, binafsi mtoa mada nimeelewa alichoandika , nasubili mpangue hoja zake, 😂Kwa mtu kama wewe kucheka si hoja, kwa sababu sioni mchango wowote wa maana uliouweka hapo kuonyesha utofauti wa hoja zako na zangu.
Kwa hiyo endelea kucheka, watu kama nyinyi ni wengi sana ndani ya nchi hii, ndiyo maana tunadidimia.
Hizo hoja unazoziona wewe mimi sizioni; kwa hiyo usitegemee kuona upanguzi wake.Mkuu unanionea bure, binafsi mtoa mada nimeelewa alichoandika , nasubili mpangue hoja zake, 😂
Vipi kubusu mama ako anauhalali wa kuwa raisi ili hali anaruhusu watu wajipimie wanavyotaka? Kweli nyani haoni kundule lake.Huyu mtu simply ni Mhalifu, japo anajificha kwenye kijisauti chake kile tunamwona kama Mcha Mungu vile.
Kwa miezi michache aliyokaa kama CG - TRA, Philip Mpango aliwatisha Wafanyabiashara na kuwafanya wengi wafunge biashara. Tabia hiyo aliendelea nayo akiwa Waziri wa Fedha.
Aliwatisha pia Wakuu wa Mashirika ya Umma na kuwaamuru kutoa Mabilioni ya Fedha kama Gawio Serikalini hata pale ilipokuwa ikijulikana Wazi mashirika mengi yalikuwa taabani kifedha - Jambo linalolalamikiwa na Rais Samia kwa Sasa.
Uharibifu wa Uchumi wote Uliofanyika Awamu ya 5, ulisimamiwa na Philip Mpango; Inakuwaje huyu mtu ndo anakuwa Makamu wa Rais?
Huyu pamoja na yule Mzee wa Benki Kuu, hawana hata chembe ya Uadilifu kuendelea kushikilia nyadhifa kubwa walizo nazo; kama tunaipenda nchi yetu hawa walipaswa kushitakiwa kwa Makosa anayoshitakiwa nayo SABAYA; SAD!
😂😂 Hatari Sana, naona mtoa mada katumia spana no kubwa Sana ,hii ndo jf Bwana🤣 unapigwa spana mpaka hoja hazionekaniHizo hoja unazoziona wewe mimi sizioni; kwa hiyo usitegemee kuona upanguzi wake.
Pengine ingefaa umsaidie kuzieleza hizo unazoziona wewe kama hoja, nasi tuzielewe kama ulivyozielewa wewe na kama zinahitaji kupanguliwa tutazipangua tu.
Kwa hiyo huu nao uwe mjadala ndani ya mada yenyewe?😂😂 Hatari Sana, naona mtoa mada katumia spana no kubwa Sana ,hii ndo jf Bwana🤣 unapigwa spana mpaka hoja hazionekani
Kwa hiyo huu nao uwe mjadala ndani ya mada yenyewe?
Hoja hapa ni Kwamba makam ni msafi au sio msafi katika utumishi wake, mtoa mada anasema sio msafi wewe unasemaje, simple and clearKwa hiyo huu nao uwe mjadala ndani ya mada yenyewe?
KIFUPI, makamu wa rais anateuliwa na rais hivyo kufaa au kutofaa kunategemea na mtazamo wa rais siyo mtazamo wa kila mwananchi. Pia kwa vigezo ulivyovitaja sioni mfanano na makosa ya SABAYA.Huyu mtu simply ni Mhalifu, japo anajificha kwenye kijisauti chake kile tunamwona kama Mcha Mungu vile.
Kwa miezi michache aliyokaa kama CG - TRA, Philip Mpango aliwatisha Wafanyabiashara na kuwafanya wengi wafunge biashara. Tabia hiyo aliendelea nayo akiwa Waziri wa Fedha.
Aliwatisha pia Wakuu wa Mashirika ya Umma na kuwaamuru kutoa Mabilioni ya Fedha kama Gawio Serikalini hata pale ilipokuwa ikijulikana Wazi mashirika mengi yalikuwa taabani kifedha - Jambo linalolalamikiwa na Rais Samia kwa Sasa.
Uharibifu wa Uchumi wote Uliofanyika Awamu ya 5, ulisimamiwa na Philip Mpango; Inakuwaje huyu mtu ndo anakuwa Makamu wa Rais?
Huyu pamoja na yule Mzee wa Benki Kuu, hawana hata chembe ya Uadilifu kuendelea kushikilia nyadhifa kubwa walizo nazo; kama tunaipenda nchi yetu hawa walipaswa kushitakiwa kwa Makosa anayoshitakiwa nayo SABAYA; SAD!
Mimi nimesema tuhuma za mleta hoja hazina miguu, sasa kwa nini hukunielewa hivyo hadi ikalazimu tufikie hapa.Hoja hapa ni Kwamba makam ni msafi au sio msafi katika utumishi wake, mtoa mada anasema sio msafi wewe unasemaje, simple and clear
Mzilankende Alimkubali Sana Huyu Bwana Mughabho Kwakuwa Ni Watani Wa Makabila, Wakalamba Asali Wafanyabiashara WanalizwaNiliwahi kujiuliza kwa nini Mzilankende alimkubali Mpango, kumbe mambo yao yaleyale.
Mchana KweupeInshort hiyo top 3 yote tumepigwa.
Hahahaaaa, 'au nasema uwongo ndugu zangu?'Mchana Kweupe
Majizi Yapo Ndugu Zangu Hata Ccm
Ebu jaribu pitia tena nini amekiandika kwanza mkuuMimi nimesema tuhuma za mleta hoja hazina miguu, sasa kwa nini hukunielewa hivyo hadi ikalazimu tufikie hapa.
Wewe umeona popote alipotoa hoja inayosimama yenyewe bila ya kuonyesha kuwa mleta mada anapigania maslahi aliyovurugiwa?
Hahahaaaa, 'au nasema uwongo ndugu zangu?'