Ni Makosa makubwa Philip Mpango kuwa Makamu wa Rais

Acha wivu wewee
 
Kwani aliyepo juu yake yeye ndiyo msafi?Hao wote ni Msoga Jazz Band-walamba asali!

You have hit the nail on its head! Hao wote ni MSOGA jazz band; mtakumbuka kuwa Phillip Mpango alikuwa Ikulu kwenye kitenog cha uchumi enzi ya Jakaya hivyo akiwa VP itakuwa rahisi kwa Kikwete kupitisha mambo yake haswa haswa baada ya kumsimika huyo chief Hangaya kuwa RAIS!! Hii ndio sababu ya Kikwete kumpendekeza Mpango kuwa VP ili hali alikuwa na makandokando.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…