Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 48,444
- 194,235
Sitakiamini 😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sitakiamini 😂
Sijui kama nimeelewa nilivyoelewa sijui 😀Reverse nikiwa nimegeuza shingo siwezi kabisa, natumia mirrors....😊
Hiyo hata Mimi siiweziKumenya machungwa km wale jamaa wa chalinze[emoji1787][emoji1787]
Kuna mtu hawezi reverse na mirror. Ni mwendo wa shingo mpaka agumie jiweKupiga kura siwezi kabisa, sijui ni kwanini....😎
Reverse nikiwa nimegeuza shingo siwezi kabisa, natumia mirrors....😊
Kuweka wallet mfukoni kwangu ni mtihani shekh, hua naishikilia mkononi au naweka kwa bag...🤗
Uliza tu mkuu....Sijui kama nimeelewa nilivyoelewa sijui 😀
Reverse ya chombo gani hapa unaongelea..?Uliza tu mkuu....
una gynophobia-fear of women usinichukulie vibaya.....😂kutongoza aisee
nahisi najidhalilisha sana, nihisi nakua mtumwa
Mmmh aisee polen sawa Ila Mungu ashukuriwe tuko nawe...kiukweli sijawahi kupata ajali Mungu aniepushe pole sanaKuendesha gari, nikiona zile taa hususani usiku naona kama nitapata ajali.
Mwaka 1999 tukiwa tunaenda Handeni Tanga na baba yangu tulipata ajali aisee walikufa wote kwenye lile bus kasoro dereva, mimi na mzee [emoji25] It has scarred me for life.
Hata kama hujawah ukiona tu waliopata ajali aisee unaweza haribikiwa akili. Walati niko form six pale kinondoni B kuna dada aligongwa usiku na gari akapasuliwa ubongo. Ile asubuhi namkuga bado hata kanga hajafunikwa aisee hii kitu isikie tu. .Mmmh aisee polen sawa Ila Mungu ashukuriwe tuko nawe...kiukweli sijawahi kupata ajali Mungu aniepushe pole sana
Sasa hii niliwahi kugonga kwa kugeuza shingo, sababu chuma haikua na mirrors wakati niki reverseKuna mtu hawezi reverse na mirror. Ni mwendo wa shingo mpaka agumie jiwe
Gari ndogo mkuuReverse ya chombo gani hapa unaongelea..?
Uzembe huo 😀😀Kuunganisha magoli. . . Hii kitu nishajaribu sana ila nimeshindwa, hivyo kila baada ya "wakoloni" lazima nipumzike kwanza kutafuta nyingine.
Mkuu sio lazima uwe ni utajiri wa mali,🤣 🤣 🤣 🤣 hapana siyo tajiri mimi
lakini kutongoza hapana aisee, Mungu atanisamehe, sitofanya hicho kitu
Hahahaa bangi tena mkuu!Vuta bangi utaweza.... 😄😄😄
😅 hapanauna gynophobia-fear of women usinichukulie vibaya.....😂