Joannah
JF-Expert Member
- May 8, 2020
- 20,921
- 49,014
Ndio hivyo yaani,sema ukianzisha naunga fresh😄Mmmmh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio hivyo yaani,sema ukianzisha naunga fresh😄Mmmmh
Watz sisi ni rare creatures, mnapanda daladala gombz mnaanza kuongea taratibu, hadi mnafika kkoo mmekuwa marafiki wa kutupwa. Only in TZ😁Ndio hivyo yaani,sema ukianzisha naunga fresh😄
Hio biashara sitaki kabisa....kua labeled..Kuvaa jezi za simba au yanga au chama chochote cha siasa
Eti watu wanapeana number kabisa😅😅😅Watz sisi ni rare creatures, mnapanda daladala gombz mnaanza kuongea taratibu, hadi mnafika kkoo mmekuwa marafiki wa kutupwa. Only in TZ😁
Huo ukauzu ni noma sana aisee!😁Eti watu wanapeana number kabisa😅😅😅
Kuna siku nasafiri safari ndefu,nilikutana na kichwa Nazi mwenzangu,tulivyopeana za asubuhi pale Magufuli ni safari ya siku nzima Kila mtu alishika hamsini zake,hakuna neno tuliongea Tena,nikasema yes!,Leo ubwabwa moto mchuzi moto 😂
Ule ni ushenzi sasa,,tatizo mi siwezi kuanzisha porojoHuo ukauzu ni noma sana aisee!😁
Nikome we dada mi sio chawaChawa wake😆🤦🤦
😂😂😂😂Maji yanawasha auKuoga,
Yani mpaka ninywe vidonge vinavyoleta hamu ya kuoga.
Aise ata mie 🤣🤣🤣🤣🤣kutongoza aisee
nahisi najidhalilisha sana, nahisi nakua mtumwa
🤣🤣🤣🤣🤣NimekomaNikome we dada mi sio chawa
Usikute ndo koki MasterSiwezi kufanya mapenzi.
Naogopa nasikia inauma[emoji3525]
Ni kweli 😂😂kuna mtu aliniambia ni uoga wa kuumizwa 😂